Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you are finished, hapo gono limeshaanza kutafuna kizazi. umeshazaa?Wakuu,
Juzi nilicheza mechi ila nilisahau kununua kondomu aisee na leo nlikuwa na mpango baadae ila nimetoa wakati wa kukojoa nimeona kama kuna chembe za usaha kwenye njia ya mkojo.
Hii inaweza kuwa nini wakuu?
YApo mkuu ila sijui hatua za kuchukua ni zipi?Sehemu unayo kaa hakuna vituo vya afya au maduka ya dawa ???
Bado mkuuyou are finished, hapo gono limeshaanza kutafuna kizazi. umeshazaa?
Wewe ndio ume generalise!! Sasa kama 90% ya waliokwenye ndoa, bado wanaruka ruka nje, hiyo 10% ndio niwachukulie kama case study?
Hii vijana wanatumia kwa bao la 1 tu yajayo yanafurahisha.Vijana wenzangu kinga ni muhimu, usipime kwa macho.
View attachment 3001223
Sio mimi mkuu kwa wao shauri yao.Hii vijana wanatumia kwa bao la 1 tu yajayo yanafurahisha.
Umenifurahisha. Katika masomo ya engineering au computer science ukiona 101 ujue ni basic au atua ya awali.Hio tunaita Gono 101
Ngoja nikupe dozi kabisa.
Piga azuma af sindikizia na frajil.
Hahaa 101 inanikumbusha profesa wangu mmoja hv sitokuja kumsahauUmenifurahisha. Katika masomo ya engineering au computer science ukiona 101 ujue ni basic au atua ya awali.
Kwahiyo ndio bye bye au😁😁🚮One man down
jameni 😜Mbona kabla ya kukojoa hukutuomba ushauri