Nafanya na demu wangu permanent akinitaiti lakin with condom kila mara tangu nilipogundua nina tatizo. Kwahyo hata yeye sijamuambukiza.Wakati tunasuburia wataalam waje kutoa majibu, tangu ulipopata hilo tatizo unaendelea kufanya tendo la ndoa? Kama jibu ni ndio, unafanya na mtu mmoja au wengi na hao hali zao zikoje? Usije kua unajitibu wewe kumbe mwenzio/wenzio wana hali mbaya na kila unapoenda unaongezea matatizo mkuu.
Duuh pole wa jina Mungu akusudie upone! Ila siku nyingne wajina tumia kinga.
Nafanya na demu wangu permanent akinitaiti lakin with condom kila mara tangu nilipogundua nina tatizo. Kwahyo hata yeye sijamuambukiza.
Wakati nachepuka hakuwepo so nilipogundua tatzo nikaavoid kusex nae bila kinga kwahyo kwa vyovyote sijamwambukiza na akijua patachimbika.Ahsante kwa mrejesho, yeye ameshapima hana tatizo lolote?
Nae anaumwa sema baada kumwambia ananikwepa coz nina hasira nae and nahangaika nipone simuhitaji tena maana siku nyingine ataniua kabisa.Na huyo alokuambukiza yeye ana hali gani kwa sasa?hiyo ni gono bila kupepesa macho wala kumung'unya maneno.
Kapime damu, huenda ukawa na syphilis
Mkuu hii ni Gono. Dawa ulizotaja hapo zinatumika kutibu tatizo kwa kusaidiwa na sindano. dawa moja pekee haiwezi tibu maana wadudu wameshakuwa sugu kwa hizo dawa.
Jaribu Cipro 500mg. Kidoge kimoja asubuhi na kimoja jioni kwa siku 5.
au kama mwili wako una.nguvu, cipro 500mg, vidonge viwili mara moja kwa siku moja.
Angalizo: Hakikisha unakula vizuri na kushiba
Umesomeka kwa nguvu ya 5Sure! Pia apige hapo jwenye sindano kwa siku tano au saba kulingana na level ya ugonjwa(ila zile sindano zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu sindano inachomwa kwa muda wa dakika tatu mpaka nne hadi dawa iishe)
UKIFUATA USHAURI HUU HAUTA JUTA. KILA LAKHERI KUMBUKA KULA VIZURI KAMA UTATUMIA NJIA HII