Natokwa na usaha sehemu za siri!

Natokwa na usaha sehemu za siri!

Cipro,doxy au ethromycin ni suluhu ya ilo tatizo bt next time kumbuka ndom,angekua na ngoma ndo ilikua unakufa ivo,ila kauli hii aimaanish kama hana,wait for 3 month then go for h.i.v test
 
Sure! Pia apige hapo jwenye sindano kwa siku tano au saba kulingana na level ya ugonjwa(ila zile sindano zinahitaji uvumilivu wa hali ya juu sindano inachomwa kwa muda wa dakika tatu mpaka nne hadi dawa iishe)



UKIFUATA USHAURI HUU HAUTA JUTA. KILA LAKHERI KUMBUKA KULA VIZURI KAMA UTATUMIA NJIA HII

Izo sindano ndo dawa vidonge hawez pona kamwe
 
Poleni na Majukumu.

Miezi 2 iliyopita nilikutana kimwili na demu wangu wa siku nyingi ambaye tulikuwa hatujaonana takribani miaka 3. Hatukutumia kinga. Baada ya wiki 1 nikaanza kutokwa usaha sehemu za siri. NIlipoenda kupima nkaambiwa nina U.T.I na nikapewa Norfloxin. Nilimaliza dozi lakini tatizo liliendelea.

Nikabadilishiwa dawa na kupewa Augumentin lakini nayo iligonga mwamba. Nkapewa Flumox lakini kila nilipopima wadudu walionekana kupungua lakini hawakuisha mwilini.

Daktari akanishauri nikapime Urine for culture and sensitivity ambapo niliambiwa siumwi magonjwa ya zinaa. Majibu yaliandikwa "yielded a heavy growth of longue storplycoca" na kushauriwa kuwa nitumie dawa mojawapo kati ya Chloramphenicol, Gentamicyin au Tetracycline ntapoina lakini mpaka sasa nimeshatumikia dawa mbili kati ya hizo lakini bado natokwa na majimaji yanayoteleza na yenye harufu mbaya.

Naombeni msaada hawa ni wadudu gani sugu kiasi hiki? Kama kuna ambae amewahi kuumwa kama mimi ulipona kwa dawa gani?

Nisaidieni mwenzenu maana kuna wakati hao wadudu wakichachamaa nasikia maumivu makali sana ya uume.

Yeyote anayewafahamu hawa wadudu nisaidieni the way to overcome this.

Natanguliza shukrani zangu.


Mkuu hizo in dalili za kisonono nenda hospitali inayoeleweka upate matibabu haraka vinginevyo itaoza machine hiyo
 
mkuu hizo ni dalili za kisonono kafanye vipimo hospitali inayoeleweka
 
hahahaha mkuu unagema?? nenda wakakudunge sindano ya mbwa.hakikisha unapokwenda uwe umeshiba vya kutosha.ukifanya masihara utaanza kutoka mafunza kabisa pole sana aisee ila ni aibu kubwa
 
hahahaha mkuu unagema?? nenda wakakudunge sindano ya mbwa.hakikisha unapokwenda uwe umeshiba vya kutosha.ukifanya masihara utaanza kutoka mafunza kabisa pole sana aisee ila ni aibu kubwa

Kama umeamua comment!! Sijapendezwa na hiki ulichoandikaa! Jitambue hekima ni vema ukaitumia
 
Gono hilo.Katibiwe fasta la sivyo njia ya mkojo itakuja kuziba tu huko mbeleni.
Pima na kaswende na VVU kwa sababu umo katika hatari ya kuwa na magonjwa ya zinaa.
 
aiseee..kuna clip flani hivi ya video inazunguka kwenye magroup ya whattsApp mtu anakamua wadudu kwenye mashine.....dalili huwa zinaanzaga hivo ivo
 
Poleni na Majukumu.

Miezi 2 iliyopita nilikutana kimwili na demu wangu wa siku nyingi ambaye tulikuwa hatujaonana takribani miaka 3. Hatukutumia kinga. Baada ya wiki 1 nikaanza kutokwa usaha sehemu za siri. NIlipoenda kupima nkaambiwa nina U.T.I na nikapewa Norfloxin. Nilimaliza dozi lakini tatizo liliendelea.

Nikabadilishiwa dawa na kupewa Augumentin lakini nayo iligonga mwamba. Nkapewa Flumox lakini kila nilipopima wadudu walionekana kupungua lakini hawakuisha mwilini.

Daktari akanishauri nikapime Urine for culture and sensitivity ambapo niliambiwa siumwi magonjwa ya zinaa. Majibu yaliandikwa "yielded a heavy growth of longue storplycoca" na kushauriwa kuwa nitumie dawa mojawapo kati ya Chloramphenicol, Gentamicyin au Tetracycline ntapoina lakini mpaka sasa nimeshatumikia dawa mbili kati ya hizo lakini bado natokwa na majimaji yanayoteleza na yenye harufu mbaya.

Naombeni msaada hawa ni wadudu gani sugu kiasi hiki? Kama kuna ambae amewahi kuumwa kama mimi ulipona kwa dawa gani?

Nisaidieni mwenzenu maana kuna wakati hao wadudu wakichachamaa nasikia maumivu makali sana ya uume.

Yeyote anayewafahamu hawa wadudu nisaidieni the way to overcome this.

Natanguliza shukrani zangu.

Nicheki pm kijana
 
hivyo vipimo vilionyesha uti ni kutoka maabara za vichochoroni,hiko ni kitu cha GONORRHEA aka shitinka
 
Nimejikuta tu nacheka lakini sio lengo langu am very sorry... Hebu tuache kuendekeza ngono zisizo na msingi yan hamjaonana miaka 3 halafu mnabanjuana bila kinga?? Like r u guyz serious kabisa kabisa??. Next time utatoka na ngoma ndio mtajua ni nini faida ya kujiheshimu....mxyuuu halafu unatoka hapo unaenda kubanjuka na kidemu chako...ukimwi katu hautaisha pulizzzz spare my time...😕
 
Back
Top Bottom