Natongozwa na mpangaji mwenzangu

Huu mtego umekaa pabaya sana, nitumie namba yake, nitakupa mrejesho.
 
Chukua ushauri huu, hakika hutojutia
 
Duuu! Mungu aendelee kukuongezea busara, ushauri wako umefumbua ubongo Wangu. Ni kweli kuna ugomvi ulitokea kati yake na mke wangu mwanzoni mwa ndoa yangu lakini saizi wanaelewana kupita kiasi.
 
Mwanaume kujifanya mlokole
Wakat n myahud mkubwaaa
Huo n uduanz
 
Acha ulofa wewe.

Mwanamke humtaki alafu unamchekeachekea hivo.

Huo muda unaenda kupiga nae stori vichichoroni unaupata wapi kama sio unafiki? Mpaka hapo mnapoongelea huko vichochoroni tayari ushamsariti mkeo manana huwa humwambii. Fikiria kama mkeo anakukuta huko vichochoroni ama wewe umkute mkeo amebananishwa na njemba vichichironi.


Mwambie aje apige stori nyumbani kwako na mkeo akiwapo.

Wewe sema unamtaka ila inamwogooa mkeo.

Mwanaume humtaki mwanamke afu akusumbue? Landa uwe mwanaume suruali.
 
WATU WALIOKUWA WANAMWEKA MJINI CHANNEL ZAO ZIMEKATWA NA MAGU, SASA ANATENGENEZA LINK NYINGI ILI AKIKWAMA MUMSAIDIE, LEO UTAMUONA HANA SHIDA HATA GUEST ANAWEZA KULIPA YEYE LKN ANAJUA ZITARUDI TU.
Thanks
 
Kuhama nyumba siyo kusolve tatizo, kusolve tatizo ni msimamo wako tu. Utahama nyumba ngapi? Maana hata huko utakakoenda utakutana na wengine.
 
We ni mwanaume wa wapi???....yani mwanamke anakusumbua kiasi hicho
 
Mnampongeza huyu jamaa kwa lipi?

Mwanamke humtaki afu unampatia mawasiliano yako kwa lipi?
 
Tunaishi nyumba moja ila vyumba tofauti. Naomba uamini kuwa hii sio story ya kutungwa bali ni ya ukweli.
 
Dah dunia imebadilika kweli koma hivyo hivyo tu japo mie jingempa japo kichwa tu [emoji2] [emoji2]
 
Mimi nina wasiwasi umeshaanza kulegea... Kama hujalainika na hutaki mwambie mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…