Natongozwa sana na wadada Instagram

Natongozwa sana na wadada Instagram

Amesema kaoa mke mrembo na anampenda sana. Mambo ya kadi yanatoka wapi tena?

Mkuu code za Jeiefu ni kama katuni za Masoud kipanya...

Kila mtu ataelewa kwa style yake... so hata wewe uko sahihi sana ulivoelewa...
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Sikuhizi kutokana na utandawazi, wadada wengi wamekuwa wepesi kutongoza na kueleza hisia zao. Lile swala la mwanamke kuwa na haya au stara limepungua.
Pia wadada wanatafuta ndoa kwa udi na uvumba, huenda ujaweka wazi kuwa umeoa, hujawai mpost mkeo.
Sababu nyengine huenda unampost mkeo sana na jinsi unavyomspoil, wadada hatupendani, yani wapo ambao atatamani na yeye awe treated hivyo, sasa badala ya kutafuta wa kwake anakutaka wewe huyo huyo umdekeze na umpe raha kama unazompa mkeo.
Kama unapost unakula bata sana huenda wanakuona ni Don, kwaio akipata chance ya kuwa na wewe basi atafaidi mali zako
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Tunajua ulitamani utongozwe na wanaume lakini wasagaji ndo wanakuotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.

Unatakaje mkuu?
 
HAHAHAHAHAHAHAHAHAH😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
yawezekana post zako zinastua watu wakaona wakufanye mradi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]afu we ukahisi unatongozwa
 
Back
Top Bottom