kallenge
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 623
- 606
Sawa tu shida ni kwa inae mhusu [emoji4]Kuna harufu ya ban humu kwenye uzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tu shida ni kwa inae mhusu [emoji4]Kuna harufu ya ban humu kwenye uzi
Amesema kaoa mke mrembo na anampenda sana. Mambo ya kadi yanatoka wapi tena?
Hahahahaaaaa sawa sawa. Ingawa Marking Scheme anayo Masoud mwenye kipanya chake.Mkuu code za Jeiefu ni kama katuni za Masoud kipanya...
Kila mtu ataelewa kwa style yake... so hata wewe uko sahihi sana ulivoelewa...
Hahahahaaaaa sawa sawa. Ingawa Marking Scheme anayo Masoud mwenye kipanya chake.
Sikuhizi kutokana na utandawazi, wadada wengi wamekuwa wepesi kutongoza na kueleza hisia zao. Lile swala la mwanamke kuwa na haya au stara limepungua.Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Tunajua ulitamani utongozwe na wanaume lakini wasagaji ndo wanakuotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
NakaziaMwenyekiti kwenye kikao chetu cha mwisho kule namtumbo alisisitiza sana kuhusu hili... ila vijana hawakuhudhuria
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Direct messagehivi DM maana yake nini wakuu?
Nenda Pm kamuombe namba bas dogo ili aende twitter akawasemee kuleSawa, kwa hiyo?
Mow ur grass babygal, keep it trimmed and neatTunajua ulitamani utongozwe na wanaume lakini wasagaji ndo wanakuotea[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Why do u think u have a say in what I post?Unatakaje mkuu?