Natongozwa sana na wadada Instagram

Natongozwa sana na wadada Instagram

Mtoa mada usiukimbie Uzi wako Basi,

endelea kushusha vingereza vya ras Simba basi,

Au misamiati imekata bwasheee[emoji2]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mkuu mie nikiona umenijibu nafurahi maana najua nachambwa[emoji38][emoji38][emoji38]
Please grow up halafu muda wa kula huu naomba ule tafadhal
Hatari sana [emoji4][emoji4][emoji4]
 
Njoo tukutongoze na huku. Ila huku kiutuuzima sio mautoto ya Insta.

Unapiga show au bila bila?

Ni mrefu mweusi una body?

Au keupe kimbao mbao ka kujishkiza kwenye nguzo kukiwa na upepo mkali.
Duh!...
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
.................. Jingaz..............!
 
Post refu hivi hujaweka hata picha moja basi huu ni uwongo mtupu
WEKA PICHA TUONE SHIDA NI NINI
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Acha uongo

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.

Niki wa pili kashamaliza ghorofa lake?
 
Uyu hatubishani naye, hapa tunamnyoosha atie adabu.

Siku nyingine asilete ujuaji mbuzi humu[emoji2]

Wapuuzi Kama mtoa mada ndo wanaoishushia heshima JF.

Kuna watu wa maana wameacha Kuna mmu kwasababu ya nyuz Kama hizi za kina mtoa mada

JamiiForums yetu imekua kama ya fesibuku ya Meta jaman chaaaaaa

Embu naomba umkomeshe atie adabu me sijapendezwa hata kidogo
 
Ushasema unashepu nzur ya kuvutia kuliko wadada wa humu jf,

Bila shaka na chura IPO ya KUTOSHA, ukipelekewa vizur Moto Lazima ujambe mayai viza upinde wa mvua wewe[emoji2]
I've got twelve inches. Want to test?
 
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.

Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.

Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.

Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.

Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.

Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.

Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana

Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.

Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Unanitisha ndio kwanza nimefungua akaunti yangu huko juzi juzi tu. Anyway jambo la muhimu kwako ni kubanana na mkeo bampa to bampa. Hao wengine we waone kama Dada zako wazazi tu.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom