Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Na mimi nimeamua kumzingua kabla That Gentleman hajaja kunifuma hapa.Namzingua TU nyau uyu[emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nimeamua kumzingua kabla That Gentleman hajaja kunifuma hapa.Namzingua TU nyau uyu[emoji2]
Hahaha....Na mimi nimeamua kumzingua kabla That Gentleman hajaja kunifuma hapa.
Hapo kwa English atanichosha mapemaa acha nikatafute sredi ingine.Hahaha....
Upuuz wa uyu nyau Unaweza sababisha tukaonekana was ovyo.
Sahv kaanza kujibu comments kwa kingereza afu anatukana waziwazi wkt Uzi wake KALETA kwa kiswahili
Hatari sana [emoji4][emoji4][emoji4][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]mkuu mie nikiona umenijibu nafurahi maana najua nachambwa[emoji38][emoji38][emoji38]
Please grow up halafu muda wa kula huu naomba ule tafadhal
Duh!...Njoo tukutongoze na huku. Ila huku kiutuuzima sio mautoto ya Insta.
Unapiga show au bila bila?
Ni mrefu mweusi una body?
Au keupe kimbao mbao ka kujishkiza kwenye nguzo kukiwa na upepo mkali.
.................. Jingaz..............!Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Ni kweli mkuuHatari sana [emoji4][emoji4][emoji4]
Acha uongoMoja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.
Uyu hatubishani naye, hapa tunamnyoosha atie adabu.
Siku nyingine asilete ujuaji mbuzi humu[emoji2]
Wapuuzi Kama mtoa mada ndo wanaoishushia heshima JF.
Kuna watu wa maana wameacha Kuna mmu kwasababu ya nyuz Kama hizi za kina mtoa mada
Ur cave looks scrumptiousThat is a sign of life.
I've got twelve inches. Want to test?Ushasema unashepu nzur ya kuvutia kuliko wadada wa humu jf,
Bila shaka na chura IPO ya KUTOSHA, ukipelekewa vizur Moto Lazima ujambe mayai viza upinde wa mvua wewe[emoji2]
Amesema kaoa mke mrembo na anampenda sana. Mambo ya kadi yanatoka wapi tena?Kadi ya Mwaliko.
Naona umejitengenezea kadi ya mwaliko,,, umekuja kuwasambazia kina dada wa huku..
Unanitisha ndio kwanza nimefungua akaunti yangu huko juzi juzi tu. Anyway jambo la muhimu kwako ni kubanana na mkeo bampa to bampa. Hao wengine we waone kama Dada zako wazazi tu.Moja ya kitu ambacho nakutana nacho sana inbox kule Instagram ni message za wadada, wakiomba namba ya simu wengine salamu.
Huenda ni sababu ya aina ya maisha nayopost kule au sikui kunijua, nashindwa kuelewa.
Lakini wengi wanaonitongoza siwajui kabisa na wengine ukiangalia profile zao na picha walizowahi kupost ni wake za watu kabisa.
Wengi nakutaga wamenitumia namba zao niwatafute.
Hii huwa inaniletea sana mgogoro na wife maana hushika simu yangu na Kuna muda huitumia kuingia Insta.
Hali hii iliwahi kunikuta zamani kidogo nikipokua natumia sana pia Facebook, Ila kwa sasa nimeacha kutumia.
Sijawahi kukutana na hali hii Jamii Forums, pengine sababu natumia fake ID. Lakini sijawah kukutana na hiyo hali.
Na kusema ukweli sijawahi kukubali wala kukutana na yoyote aliyewahi kunitongoza Insta, japo kuna muda huwa nataka kumshindwa shetani maana wengine ni mabinti wazuri na warembo sana unakuta wameacha ujumbe na namba ya simu. Mtihani sana
Kwa wiki naweza kukutana na ujumbe inbox kama 6 za kupendwa na kuombwa namba za simu.
Mimi hulka yangu sio mtu sana wa skendo wala kupenda sana wanawake japo nimewahi kucheat Ila sio sana, nampenda sana mke wangu na namheshimu sana. Ni mzuri na mrembo sana.