Natongozwa sana na wadada Instagram

Hivi mwanamke mwenye staha atahangaika ku DM wanaume insta na kuwatongoza?? Hao ni wafanyabiashara kama wewe tu ulivyojitangaza hapa.

Halafu huu mwandiko wako wa kike kabisa.
 
Stamina alisema ukiona ivo ujue unanyota ya ukimwi
 
Mkuu hakuna wanaume waliokutongoza pia’? Hebu Tuma picha aisee siku nyingi sijatongoza mwanaume mwenzagu alie kidada dada.
Mi mwnyw nmemtongoza nasubir jibu, akamsimulie mkewe[emoji4]
 
Amenitumia Dm kasema niwape wadada,,, Plz uje uichukue..

Kijana anajisifia kutongozwa.... Wanaume tunaisha sana
Nipatie bas mkuu.. nmelielewa tangazo lake.

Hakika ni changamoto kwenu wenye jinsia yenu.. itabidi muunde kadi ya uanachama sasa😅
 
Hakika ni changamoto kwenu wenye jinsia yenu.. itabidi muunde kadi ya uanachama sasa

Mwenyekiti kwenye kikao chetu cha mwisho kule namtumbo alisisitiza sana kuhusu hili... ila vijana hawakuhudhuria
 
Mi mwnyw nmemtongoza nasubir jibu, akamsimulie mkewe[emoji4]
Don't be in a hurry gal, bumps get bigger naturally as u get older. U need a councillor and it psychiatrist. Feel sorry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…