Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Kaa nao mbali,nao watakua mbali nawe,ukiwa karibu mharifu ni rahisi nawe kuwa mharifu.
 
Mh! Mkuu kuna kaukweli, ushawahi kuishi Simiyu?

Umaana wa mwanaume unapimwa kwa lipi,...'hamna mwanaume wa maana ukiwemo na wewe'...
Mkuu hivi una uwezo wa kishetani kuwatambua watu wote unaowasiliana nao hapa Jf ukaconclude kuwa wote si wa maana?
Mimi unanijua?
Sijakuelewa kuni-quote labda pengine ulikosea. Ila kama unataka ufafanuzi ni kwamba nimesema wanaume wengi wa kanda ya Ziwa wanapenda wanawake wanaonuka shombo. Nimeishi huko naelewa na ninawajuwa vizuri wanaume wa hiyo sehemu.
 
Sijakuelewa kuni-quote labda pengine ulikosea. Ila kama unataka ufafanuzi ni kwamba nimesema wanaume wengi wa kanda ya Ziwa wanapenda wanawake wanaonuka shombo. Nimeishi huko naelewa na ninawajuwa vizuri wanaume wa hiyo sehemu.
Ukiangalia post #139 utaona kuwa iliingiza 'nukuu double'.
Wewe niliishia kukuuliza kama uliishi huko Usukumani, maana ulichosema ni cha kweli.
Ila maneno ya chini yaliyofuata nilikuwa namjibu member mmoja nadhani ni mwanamke kutokana na hoja yake.
 
Unanuka mdomo, makwapa na papuchi? Si kama nakudharau, lahasha....wanaume wa Kanda ya Ziwa wanapenda sana wanawake wanaonuka hizo sehemu sijuwi kwanini.
Duuu, umeua🤣
Na ban umepata🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom