Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Ndege wafananaohuruka pamoja. Ruka nao
 
Changudoa katika kujitetea. Hiyo list hadi kuja kukushtua maana yake umekigawa sana.

Ushauri, punguza umalaya
 
Kama upo kwenye mji wanapopatikana kwa wingi huwezi kuwakwepa labda uhame.
 
Sema nini utakuwa na Nyota kipigo ndio maana unapata wakurya wengi
 
Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
weka picha tuone uzuri wako
 
Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Huu mwandiko ni wakiume
 
Humu hamna wanaume
20250201_031634.jpg
 
Unanuka mdomo, makwapa na papuchi? Si kama nakudharau, lahasha....wanaume wa Kanda ya Ziwa wanapenda sana wanawake wanaonuka hizo sehemu sijuwi kwanini.
Mh! Mkuu kuna kaukweli, ushawahi kuishi Simiyu?
Umemaliza !!
Au unadhani najitongozesha humu
Nishasema humz hamna mwanaume wa maana ukiwemo na wewe wote wale wale
Umaana wa mwanaume unapimwa kwa lipi,...'hamna mwanaume wa maana ukiwemo na wewe'...
Mkuu hivi una uwezo wa kishetani kuwatambua watu wote unaowasiliana nao hapa Jf ukaconclude kuwa wote si wa maana?
Mimi unanijua?
 
Back
Top Bottom