Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kuomba dudu kijanjaKwenda huko useless man
Acha umalaya mwanangu utazolewa na miwaya ufe bado mbichi bureLeo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu
Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya
Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya
Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
😂😂😂😂😂Sawa basi 😂
Ila hawana hela
Humu hamna wanaume
ok, lets we make a secret.Can't drop my photo to the public
Hapana si yangu wala sina na sihitaji. We gawa, uza, fungia kwenye pupi, safisha, acha chafu. ni yako tu. Fanya utakavyo hata ukiwagawia mbwa na kuku. Ila kumbuka.. Ukikwaa miwaya utanikumbuka mwanangu.Ni Yako nagawa?
Nikukumbuke kwa kipi wewe😂Hapana si yangu wala sina na sihitaji. We gawa, uza, fungia kwenye pupi, safisha, acha chafu. ni yako tu. Fanya utakavyo hata ukiwagawia mbwa na kuku. Ila kumbuka.. Ukikwaa miwaya utanikumbuka mwanangu.
Facts zako ni zipi RafikiNasema fact
Taste za kikahaba 100%Nataka kubadilisha taste
Unawakumbuka kwa idadi utusaidie kufanya makadirio ya urefu na upanaNataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!