Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaaah Sawa basi wewe Ndio mkurya Au unasemajeHakuna mkulya, utakuwa msukuma wewe ndo maana hujui kama kuna "r".
Haya naja...mie msukuma piaMsukuma yyte njoo.PM
Mwenyewe utakuwa mkurya.Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu
Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya
Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya
Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Una nyota ya kichuri wewe, sio bure!!Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu
Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya
Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya
Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
😂😂Nyuma sio lazima lkinipIcha iko wapi?, Video Ukitembea kugeuka nyuma ..
Niko na kaka zangu hapa mmoja mpemba Binadamu Mtakatifu Andazi , mwingine msambaa Half american na mwingine mzaramo Gily Gru
We nae unatafuta makubwa tu na maswali yakoo 🤣 😜Kuna nini
Kabisa hutajutia...just give me a chance to be ur mannnnMnamapenzi ya dhati nasikia