Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Hawa ndo hao wa mtaani sema keyboard tu zinawaangusha ila wapo smart sanaWanaume washamba TU wa humu
Tabia za kike wanazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa ndo hao wa mtaani sema keyboard tu zinawaangusha ila wapo smart sanaWanaume washamba TU wa humu
Tabia za kike wanazo
Sisi Wakulya,wasukuma Ndio tunaangalia rangi sanaaKwani mnaangalia rangi
Mi ni mjaluo wa sirariMpaji Mungu unaitwa huku
Sasa nan atakutongoza zaidi ya mkurya.Kama wwe mkurya hapana
Wakome wababa wetu😂😂Wanaume washamba TU wa humu
Tabia za kike wanazo
Labda umekeketwa mkuuLeo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu
Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya
Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya
Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Hakuna mkulya, utakuwa msukuma wewe ndo maana hujui kama kuna "r".Sisi Wakulya,wasukuma Ndio tunaangalia rangi sanaa