Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Natongozwa sana na wakaka wa Kikurya. Tatizo litakuwa wapi?

Mimi ni moja ya hayo makabila unayopenda kubadirishia, natokana na kabila furani ambalo hairuhusiwi wasichana kupewa suna, suna hupewa wavulana tu.
Lakini ili niedelee na hoja yangu inayofuata ni vema pia tujue unatokana na kabila gani bi dada.
 
Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Unanuka mdomo, makwapa na papuchi? Si kama nakudharau, lahasha....wanaume wa Kanda ya Ziwa wanapenda sana wanawake wanaonuka hizo sehemu sijuwi kwanini.
 
Mimi ni moja ya hayo makabila unayopenda kubadirishia, natokana na kabila furani ambalo hairuhusiwi wasichana kupewa suna, suna hupewa wavulana tu.
Lakini ili niedelee na hoja yangu inayofuata ni vema pia tujue unatokana na kabila gani bi dada.
Very good, hili nalo likatizamwe isee!
 
Leo nimeona nikae nitafakari kama Binti nikiwa mtulivu na ustaarabu ya juu maisha yangu

Nimekuja kugundua natongozwa sana na wakurya kwanzia kwenye social media ...mikoani.....chuoni...mtaani ..kila nikimuuliza mkaka kabila anasema mkurya

Hili tatizo litakuwa wapi? Kwani wakaka wa kabila lingine hamnioni tu (wasukuma .wazaramo ...wachaga ...nyakyusa ....wahaya mko wapi)?au nyie ndo mtakuja kunioa huko mbeleni nipoteze saizi muda na wakurya

Au nina taste za wakurya TU ndugu zangu!!!???
Nataka kubadilisha taste nyingine
Kwenye list ya wakaka nimedate nao ni wakurya tupu!
Wakurya mniache !!!!!
Kuna jambo unalipromote kisaikolojia hapa.

Watu kabila flani huwa hawabebi sifa zenye kufanana kwa sababu kila mtu kabeba umbile, tabia pamoja na haiba yake.

Kutaja kabila fulani una maana yako fiche ambayo yaweza kuwa ni njia ya kuexpress furaha yako kutokana na mtu wa kabila hilo unayempenda sana ama aliyewahi kukufurahisha na sasa umemiss.

Kusema maneno kinyume huwa ni sanaa simulizi inayotumiwa na werevu kumpima akili msimuliwaji.

Nami kuna wakati niliitumia sana sanaa hii kumuelezea mtu(mwanamke) ninayempenda, kwakumponda na kumpa sifa mbaya ili kupima upepo wa mrejesho!

Siku moja nilimsimulia babu yangu kuhusu girl friend wangu kinyume na uhalisia, sasa majibu yake hadi nikagundua kama kuwa naye kanigundua: ... 'Aaargh babu sichana lenyewe libaaayah, halifai hata kuongozana nalo barabarani'...

Nilimgundua babu akiyasema maneno hayo huku akining'ong'a!

Tulipokutanisha macho tukabaki tunacheka tuu.

Sasa ndiyo wewe mkuu, hauwezi kutuletea habari kama hizo tukakubaliana na wewe, unatula kisogo bhana, una lako jambo wewe.
 
Kuna jambo unalipromote kisaikolojia hapa.

Watu kabila flani huwa hawabebi sifa zenye kufanana kwa sababu kila mtu kabeba umbile, tabia pamoja na haiba yake.

Kutaja kabila fulani una maana yako fiche ambayo yaweza kuwa ni njia ya kuexpress furaha yako kutokana na mtu wa kabila hilo unayempenda sana ama aliyewahi kukufurahisha na sasa umemiss.

Kusema maneno kinyume huwa ni sanaa simulizi inayotumiwa na werevu kumpima akili msimuliwaji.

Nami kuna wakati niliitumia sana sanaa hii kumuelezea mtu(mwanamke) ninayempenda, kwakumponda na kumpa sifa mbaya ili kupima upepo wa mrejesho!

Siku moja nilimsimulia babu yangu kuhusu girl friend wangu kinyume na uhalisia, sasa majibu yake hadi nikagundua kama kuwa naye kanigundua: ... 'Aaargh babu sichana lenyewe libaaayah, halifai hata kuongozana nalo barabarani'...

Nilimgundua babu akiyasema maneno hayo huku akining'ong'a!

Tulipokutanisha macho tukabaki tunacheka tuu.

Sasa ndiyo wewe mkuu, hauwezi kutuletea habari kama hizo tukakubaliana na wewe, unatula kisogo bhana, una lako jambo wewe.
Umemaliza !!
Au unadhani najitongozesha humu
Nishasema humz hamna mwanaume wa maana ukiwemo na wewe wote wale wale
 
Back
Top Bottom