Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anakusanya mamilioni ya wajinga kila siku unadhani atashindwa kuwapanga na kuwalipa hao?Hao akiamua kuwalipa hata laki 5 inatosha kwa siku huku yeye akikusanya milioni kadhaa ana hasara gani.Wote hawa wamelipwa?
View attachment 2387085
Pale MOI watamfuataInabidi Wagonjwa wamfate mwamposa.
Wajinga ndio waliwaoKama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
Hao walemavu walitoa oda ya pamoja kutengenezewa hayo magongo? Kwanini magongonyote yanafanana?Wote hao wamelipwa? Magongo zaidi ya 100,
View attachment 2387086
Viwete na vilema wamejaa tele pale Kariakoo mtaa wa Congo wanaendesha Bajaji kutoka mtaa wa Congo kwenda Posta na Ferry. Acha ujinga unaoletwa na MADHEHEBU bandia. Fanya kazi kwa bidii na kulipa kodi ujenge familia yako na nchi yetu.Kama kichwa cha habari hapo juu, ujio wa Mwamposa, Songea ni neema.
Umeleta uponyaji mkubwa sana, vilema wanatembea, vipofu wanaona, hiyo haina kupinga.
Mimi nilikuwa simuamini lakini kwasasa naanza kumuamini.
View attachment 2387081
HahViwete na vilema wamejaa tele pale Kariakoo mtaa wa Congo wanaendesha Bajaji kutoka mtaa wa Congo kwenda Posta na Ferry. Acha ujinga unaoletwa na MADHEHEBU bandia. Fanya kazi kwa bidii na kulipa kodi ujenge familia yako na nchi yetu.
Tunaomba kuwe na orodha ya viwete waliopona ili tuwachangie fedha za mitaji.Kama kweli wanapona sio changa la macho basi ni wazi kuwa ombaomba watapungua.Wewe ulikuwa kilema umepona?
NakaziaTunaomba kuwe na orodha ya viwete waliopona ili tuwachangie fedha za mitaji.Kama kweli wanapona sio changa la macho basi ni wazi kuwa ombaomba watapungua.
Sijui kwa nini hawataki kufanya hivi. Waende Mwaisela wakawainue wale wagonjwa! Kesho wote tutakuwa huko Tegeta na sadaka zetu!Si waende mahospitalini wakatoe wagonjwa ma-wodi ya baki matupu tuweke wanafunzi
Kwann hamtaki kuamn miujiza?? Kwahyo watu wote wanapangwa?Sijui kwa nini hawataki kufanya hivi. Waende Mwaisela wakawainue wale wagonjwa! Kesho wote tutakuwa huko Tegeta na sadaka zetu!
hahahTunaomba kuwe na orodha ya viwete waliopona ili tuwachangie fedha za mitaji.Kama kweli wanapona sio changa la macho basi ni wazi kuwa ombaomba watapungua.
kaswali rahisi kati ya hao vilema waliopona unafahamu hata mmoja wao?Daaah ndugu yangu, Elimika ndugu hao ni Usanii unafanyika hapo au labda nikuambie ukweli hayo ni maigizo tu hayana uhalisia wowote ndugu