Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
- Thread starter
- #721
Usijari , ratiba ipo,wote mtaponywa.Sawa. Wa daslamu zamu yao lini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijari , ratiba ipo,wote mtaponywa.Sawa. Wa daslamu zamu yao lini?
Mkuu mgonjwa ndio anamfata mganga.Acheni ujinga ,maskini na wajinga ni mitaji mizuri sana hapa duniani ,when they are desperate they take and believe anything , aende moi na ocean road akasaidie kuponyesha watu
Mkuu usipaniki, wagonjwa wamfate mwamposa, CASE CLOSED.Ujinga ulionao wewe kwa njaanjaa zako usiwaambukize wengine,kama kweli huyo bwanako mwamposa ana uwezo wa kuponya wagonjwa basi aende hospitalini ambako wagonjwa wamejaa tele akiweza hilo basi utakuwa sahihi
Haraka sana, jumapili aletwe .Kuna mama Mtwara pua imeliwa na funza..mdomo na macho vipi huyo tumletee?