Acheni ujinga ,maskini na wajinga ni mitaji mizuri sana hapa duniani ,when they are desperate they take and believe anything , aende moi na ocean road akasaidie kuponyesha watu
Ujinga ulionao wewe kwa njaanjaa zako usiwaambukize wengine,kama kweli huyo bwanako mwamposa ana uwezo wa kuponya wagonjwa basi aende hospitalini ambako wagonjwa wamejaa tele akiweza hilo basi utakuwa sahihi