Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Natubu: Nilikuwa simuelewi Mwamposa, ila kwa idadi ya viwete walioponyeshwa Songea naanza kumuamini

Mimi bado ninauchungu na waliokufa Pale Moshi wakikanyagana kugombania kukanyaga mafuta ya upako kama upako ulikuwepo pale INAKUWAJE wafariki?
Haya mwingine hapo Kenya waumini wamefunga Kwa lazima mpaka wamefariki hawa Mitume wa uongo hivi kwanini NAO wasipate adhabu ya Mungu mapema?
 
Rafiki yangu amepata ajari ya uti wa mgongo ameparalaiz mwaka wa tatu huu sasa yu kitandani amedhohofu mwili kwa msongo wa mawazo,

mwaka jana nduguze walimpeleka kwa mwamposa ila mim nilijua yule mzee mpigaji tu wasipoteze nauli zao ila nikavunga nisije kuonekana mim mchawi.

walienda akapigwa maombi akaambiwa akasikilizie home, ni miezi sita sasa tangu aombewe hakuna mabadiriko yoyote,

WANATENGENEZA USHUHUDA HAWA. FEKI FEKI FEKI
 
Lakini hata yesu alikataliwa ko binafsi sisemi chochote, nisije kukufuru, siku zote makusudi ya mungu yafanyike ila Kama ni kweli watu wanapona UBAYA WAKE ni upi?
 
Hivi kwa nini hawa waponyaji wa miujiza hawana huruma?
Waende ti mahospitalini kwanza waanze pale ocean road kwa wagonjwa wa cancer.
Wawashughulikie wenye maradhi ya figo ,moyo waende mirembe wakawatoe mapepo ya wazimu wagonjwa wa akili
Wapitilize mpaka bumgeni wakawatoe maradhi ya unafiki wabunge wetu.
Warndelee mpaka kwa viongozi wa serikali wawaondolee maradhi ya uongo ufisadi ubadhirifu rushwa na kukosa uzalendo na maarifa!
 
Rafiki yangu amepata ajari ya uti wa mgongo ameparalaiz mwaka wa tatu huu sasa yu kitandani amedhohofu mwili kwa msongo wa mawazo,

mwaka jana nduguze walimpeleka kwa mwamposa ila mim nilijua yule mzee mpigaji tu wasipoteze nauli zao ila nikavunga nisije kuonekana mim mchawi.

walienda akapigwa maombi akaambiwa akasikilizie home, ni miezi sita sasa tangu aombewe hakuna mabadiriko yoyote,

WANATENGENEZA USHUHUDA HAWA. FEKI FEKI FEKI
Yule ni tapeli na ndo maana hao wanaosema wameponywa wengi wao ni kutoka mikoani
 
Lakini hata yesu alikataliwa ko binafsi sisemi chochote, nisije kukufuru, siku zote makusudi ya mungu yafanyike ila Kama ni kweli watu wanapona UBAYA WAKE ni upi?
yesu aliwambia. wanafunzi wake msifurahi kwa kuwa mmetoa pepo bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni,

maana ake kutoa pepo sio kigezo
 
Mimi bado ninauchungu na waliokufa Pale Moshi wakikanyagana kugombania kukanyaga mafuta ya upako kama upako ulikuwepo pale INAKUWAJE wafariki?
Haya mwingine hapo Kenya waumini wamefunga Kwa lazima mpaka wamefariki hawa Mitume wa uongo hivi kwanini NAO wasipate adhabu ya Mungu mapema?
Angewafufua angalau


Ova
 
yesu aliwambia. wanafunzi wake msifurahi kwa kuwa mmetoa pepo bali furahini kwa kuwa majina yenu yameandikwa mbinguni,

maana ake kutoa pepo sio kigezo
shetani akimtoa pepo Basi ufalme wake umefitinika.....maneno ya yesu hayapingwiii
 
Basi ina maana huyu mwamposanhawaoni wale watesekao kwa magonjwa ya sukari cancer ,figo ,athritis au vijana na nguvu za kiume akawaponya? Why wanatafuta aina ya magonjwa yanayoweza kuigizwa?
Huwa wanachagua yale yanayowezekana kuigiza tu. Viwete wa kweli tangu kuzaliwa wapo tele hakuna aliyeponywa. Uhuni tu.
 
Rafiki yangu amepata ajari ya uti wa mgongo ameparalaiz mwaka wa tatu huu sasa yu kitandani amedhohofu mwili kwa msongo wa mawazo,

mwaka jana nduguze walimpeleka kwa mwamposa ila mim nilijua yule mzee mpigaji tu wasipoteze nauli zao ila nikavunga nisije kuonekana mim mchawi.

walienda akapigwa maombi akaambiwa akasikilizie home, ni miezi sita sasa tangu aombewe hakuna mabadiriko yoyote,

WANATENGENEZA USHUHUDA HAWA. FEKI FEKI FEKI
Pole sana
 
Back
Top Bottom