Natuma salam na wewe njoo utume zako

Duuuh kumbe hata wewe huelewi? Bas naacha mie labda eleri tsi singilisa ukiva msacha oko mcha.
Mmmh, Siku hizi tunafichana vitu namna hii mshiki, hebu fanya kuning'ata sikio kule sirini.

Kauli mbiu;- damu ni nzito kuliko maji.
Cc Thad

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu na mshiki wake naona mmeamua kuniteta live bila chenga sasa[emoji848]
Ngoja nimwite mchaga wangu hapa aje anitafsirie kama alivyonitafsiria maana ya Nleterewa Nganeno[emoji3525]
 
Mtu na mshiki wake naona mmeamua kuniteta live bila chenga sasa[emoji848]
Ngoja nimwite mchaga wangu hapa aje anitafsirie kama alivyonitafsiria maana ya Nleterewa Nganeno[emoji3525]
hahahhahaha mimi naanzaje kuteta wifi yangu mzuri, nakupenda ati

wewe unafikiri naleta machezo eeeeh hakuna hiyooo

love u three much
 
hahahhahaha mimi naanzaje kuteta wifi yangu mzuri, nakupenda ati

wewe unafikiri naleta machezo eeeeh hakuna hiyooo

love u three much
Wow! I love you four much[emoji8]

Embu kwanza, hivi unaniita wifi kwa nani vile? Maana nina kaka wengi sana[emoji6]
 
Mtu na mshiki wake naona mmeamua kuniteta live bila chenga sasa[emoji848]
Ngoja nimwite mchaga wangu hapa aje anitafsirie kama alivyonitafsiria maana ya Nleterewa Nganeno[emoji3525]
Aisee, kuteta mtu huo kwetu tunaita umbea, tutake radhi kwakweli.

Hahaha hakika nitamtafuta huyo mtu aliyekutoa tongotongo wallah.

Hebu ongea na mshiki wangu mnitegulie hicho kitendawili aisee.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…