Natuma salam na wewe njoo utume zako

Natuma salam na wewe njoo utume zako

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Roho inakuuma kwa lipi? Kwa kuwa kaka yake mshiki wako hakunipenda/ kuvunjika kwa uwifi wangu na mshiki wako au kuamua kwangu kuwa rafiki wa mshiki wako?[emoji848]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Roho inaniuma kwa Liverpool kufungwa na Mansh*t[emoji24]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mambo gani tena hayo mshiki?
Hivi hizo tuhuma za kuchana barua ya msacha wako zina ukweli wowote?
😂😂😂😂
Nawachora tu mnavyopigana danadana kuhusu barua. Kama kweli mmoja wenu hakuichana basi mnirudishie ili nimtumie mzaramo wangu☹️

Ila nashukuru kwa kuniongezea msamiati wa kichaga *msacha*

Cc jje's
 
Ukisikia majanga ndo hayo yaani kucheza wacheze wao, kufungwa wafungwe wao ila roho ikuume wewe?
Chagua jibu sahihi kati ya matatu yale acha kuruka kiunzi
Aisee, we ajuza una roho nzuri sana (kinyume chake), hivi kuna roho isiyouma ikiumizwa?

Anyway machaguo yote A, B, C, na D ni sahihi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawachora tu mnavyopigana danadana kuhusu barua. Kama kweli mmoja wenu hakuichana basi mnirudishie ili nimtumie mzaramo wangu[emoji852]️

Ila nashukuru kwa kuniongezea msamiati wa kichaga *msacha*

Cc jje's
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu nitumie uthibitisho wa angalau kopi yake, maana naona umeamua kurudia ile kazi yako ya uchonganishi[emoji57]
 
Aisee, we ajuza una roho nzuri sana (kinyume chake), hivi kuna roho isiyouma ikiumizwa?

Anyway machaguo yote A, B, C, na D ni sahihi.
😂😂😂😂
Kama kweli roho imekuuma fanya fanya kama unajikuna unitumie mbege ninywe na mzaramo wangu (si unajifanya una roho nzuri)
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kweli roho imekuuma fanya fanya kama unajikuna unitumie mbege ninywe na mzaramo wangu (si unajifanya una roho nzuri)
[emoji57] [emoji57]
Imeandikwa ole wake yeye ampaye mwenzake kileo, naam mimi na nyumba yangu tumechagua kumtumikia Bwana.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu nitumie uthibitisho wa angalau kopi yake, maana naona umeamua kurudia ile kazi yako ya uchonganishi[emoji57]
Hahahahaaaa mlichana OG, mtasoma kopi?
Shahidi namba moja upande wa mashtaka ni mshiki wako aliyekiri kuipokea barua na kukuletea ila mkaichana pasi na huruma☹️
 
Hahahahaaaa mlichana OG, mtasoma kopi?
Shahidi namba moja upande wa mashtaka ni mshiki wako aliyekiri kuipokea barua na kukuletea ila mkaichana pasi na huruma[emoji852]️
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hizi sarakasi inaonesha kabisa kuna dalili za kufarakanisha ndugu.

Hivi hiyo barua ilikua na shilingi ngapi?[emoji40]
 
Wakumtumikia Bwana uwe wewe? Hebu nipishe huko na roho yako mbaya kuliko ya mjukuu wake shetani
Aisee, hivi kuna mjukuu wa Mungu mwenye maneno makali namna hii?

Ila usisahau babu yako anasema 'nchi na vyote viijazavyo ni mali yake' tukiwemo mimi na wewe[emoji57]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hizi sarakasi inaonesha kabisa kuna dalili za kufarakanisha ndugu.

Hivi hiyo barua ilikua na shilingi ngapi?[emoji40]
Ni heri hata ingekuwa na hela ningekuwa nimetoa sadaka...ilikuwa na maneno yote matamu ya upendo wa agape kiasi kwamba sikubakiwa na hata akiba ya neno moja la kumwambia mzaramo wangu☹️

Ndio maana roho inaniuma sana kwa mlichonifanyia, basi nirudishieni japo majivu ya barua yangu ili nafsi yangu itulie kidogo
 
Ni heri hata ingekuwa na hela ningekuwa nimetoa sadaka...ilikuwa na maneno yote matamu ya upendo wa agape kiasi kwamba sikubakiwa na hata akiba ya neno moja la kumwambia mzaramo wangu[emoji852]️

Ndio maana roho inaniuma sana kwa mlichonifanyia, basi nirudishieni japo majivu ya barua yangu ili nafsi yangu itulie kidogo
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweli unajua kuigiza, ulivyoandika kwa huzuni utafikiri kweli.

Anyway msalimie mzaramo na umwambie biashara ni hapa hapa duniani, Mbinguni kufunga hesabu.[emoji24]
 
nilifikisha bhana acha hizo, nachanaje na wewe ulipokea mwenyewe?

au siku ile balimi zilikuwepo kichwani

teh teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nimeamini duniani hakuna haki.
Nina miaka 7 sasa sijaonja hata soda, ni mimi na maji tu.

Anway ngoja nimwambie huyo msacha wako asahau ya kale na agange yajayo.[emoji24]
 
Back
Top Bottom