We ndo unayelazimisha kwanini usiheshimu misimamo ya watu wengine
Yesu ni Mungu na alikufa msalabani na damu yake tunaitumia hata sahivi nimetoka kuitumia
Yesu ni MunguYESU NI MTUMISHI WA MUNGU, HIVYO YEYE SI MUNGU!
Yesu (AS) akasema; “Kama vile Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa, bali kutumika.” [Mathayo 20:28]
“Tazama mtumishi wangu (Yesu), niliyemchagua.” [Mathayo 12:18]
"Mungu wa Ibrahimu na wa Isaka, amemtukuza mtumishi wake Yesu." [Matendo 3:13]
"Kwa maana ni kweli juu ya mtumishi wako mtakatifu Yesu, uliyemtia mafuta." [Matendo 4:27]
Yesu ni Mungu
Kwani wakiukimbia wewe unapungukiwa na niniUnaona watu wameukimbia uzi wako unataka kuurefusha ?? 😛 😛 😛
haya baki na uzi wako ujijibu mwenyeweKwani wakiukimbia wewe unapungukiwa na nini
Tunaelewa biblia kwa uweza wa Roho mtakatifu na sio kwa uwezo wetuKamwe huwezi kusoma biblia kisanii na ukaelewa.
Mzee wale wa Ocean Road pale hii code imewafikia ?### kwa wale wenye cancer ambayo ipo stage za mwisho imesambaa na wameambiwa haiwezi tibika tena ###
Tamka bible code number 40
Mzee wale wa Ocean Road pale hii code imewafikia ?
Shukrani sana kaka### kwa wale ambao waliologwa###
Bible code number 09:- LENE MENE TEKELI MENE
Kazi yake;- kuondoa sumu ya kulogwa mwilini mwako
(Mathayo 26:26-28)
Kama umelogwa Mungu ataondoa sumu ya kulogwa iliyoko mwilini kwako na inayokutesa
UNATUMIAJE
- Unaangalia kama sumu ya kulogwa ipo mwilini kwako pasipo kujua
- Aliyelogwa amekua mgonjwa
- Aliyelogwa amekua kichaa
- Kuondoa kitanzi cha chuma ulete
(Unataja majina yako matatu-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
- Binafsi-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka Mungu akujulishe umelogwa ama haujalogwa
(Unataja majina matatu ya aliyelogwa-unatamka mara tatu tu kwa siku)(unatamka bible code angalau dakika 15 kwa siku na ukiendelea ni vizuri)
- Kumwombea mtu mwingine-unakua unatamka kimoyo moyo kwa pamoja baada ya mara tatu unaendelea na bible code peke yake kwa dakika 15 kwa siku au nazaidi ukiamua (na zaidi kama ukiweza) kwa imani na msisitizo mpaka aliyelogwa atapona