Natumia jukwaa hili kutoa ofa ya Vocha bila kutaja mtandao, atakayeipata imsaidie

Natumia jukwaa hili kutoa ofa ya Vocha bila kutaja mtandao, atakayeipata imsaidie

Ccm njooni huku muone jinsi mlivyowatia ufukara Watanzania mpaka vitu basic kama airtime nayo ni issue.

Na wewe uliyeanzisha hii topic hebu bahave, ziko njia nyingi sana za kufanya thanks giving kuliko hii.

Wewe una roho mbaya kama meko. Unampangia mtu pesa zake matumizi? Ebooh.

Ukizeeka utakuwa jini wewe.
 
Mkuu sio wote unaowaona wanacomment kwenye nyuzi mbofu mbofu ukijilinganisha nao kila mtu ana time zake wengine wanarefresh mind tu si kwamba ndivyo walivyo don't take it personal, ingawa kweli wale wa kufake pia wapo Bill Lugano nasema UONGO hapo?
Pamoja mkuu, usiku mwema
 
Haya sasa wakuu zamu ya watu wa airtel, vocha ya elfu 2 ishini nayo hiyo.

473638364833
 
Haya sasa wakuu zamu ya watu wa airtel, vocha ya elfu 2 ishini nayo hiyo.

473638364833
Galasa hili
Screenshot_20230311-222234.png
 
staki kuamni kama hizi comment zote ni za watu wanaohitaji bandle? yaan vocha ya buku? aseeh hakika kuna kitu cha kujifunza hapa, vocha ya buku inapambaniwa hivyo?????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cjui nacheka nn lol
 
Asanteni nyote vijana msioe maana offer Kama hizi nono tungepata walp
 
Yani sijapata Vocha na nashindia humu humu dadeki huu uzi ulikuwa wapi🤔
 
Wenye vocha tupieni usiku ndo huu iwe voda au halotel maana ndo natumia 😁
 
Back
Top Bottom