Ccm njooni huku muone jinsi mlivyowatia ufukara Watanzania mpaka vitu basic kama airtime nayo ni issue.
Na wewe uliyeanzisha hii topic hebu bahave, ziko njia nyingi sana za kufanya thanks giving kuliko hii.
Wewe una roho mbaya kama meko. Unampangia mtu pesa zake matumizi? Ebooh.
Ukizeeka utakuwa jini wewe.