Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Kwan tumeomba si katoa Kwa hiyariyake wew utakuwa mchoyo sanaMsipende vya bure.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan tumeomba si katoa Kwa hiyariyake wew utakuwa mchoyo sanaMsipende vya bure.
Mm hata sijui😂nipo tu hapaKWani ametuma?
Mimi naona huu uzi ni mzaha tu
Niliona id na avatar yako nikaingia humu.Mm hata sijui😂nipo tu hapa
Ngoja tuone 😂Niliona id na avatar yako nikaingia humu.
Huyu ndg ameamua kuwapima watu njaa zao labda
Mmh kaaz kweli kwelMkuu hio njia nilikuwa natumiaga kupata pisi za kishua nilikuwa naenda supermarket za kishua pisi ikinunua vocha tu ikatupa naingiza napata namba 5 za mwisho Kama ulivyo fanya ww alafu napiga 100 nawatajia namba ya vocha wao wananiambia hio vocha ishaingizwa kwenye namba wao wananipa 5 za mwanzo naunga naanza tongozo
Jamani hutaki watu tupate vocha[emoji28]Ccm njooni huku muone jinsi mlivyowatia ufukara Watanzania mpaka vitu basic kama airtime nayo ni issue.
Na wewe uliyeanzisha hii topic hebu bahave, ziko njia nyingi sana za kufanya thanks giving kuliko hii.
Mkuu hizi ni za sh elfu kumi au unatoa vocha 20 harafu da zimeshatumika aisee wajubaHaya sasa wakuu, leo nimefunga kwaresma so hela yangu ya breakfast na lunch natoa vocha za elfu 20 kumi kwa tigo na kumi kwa voda.
Twende kazi
Tigo 235374855487
Voda 58884763863
Mmebarikiwa sana.
[emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu hio njia nilikuwa natumiaga kupata pisi za kishua nilikuwa naenda supermarket za kishua pisi ikinunua vocha tu ikatupa naingiza napata namba 5 za mwisho Kama ulivyo fanya ww alafu napiga 100 nawatajia namba ya vocha wao wananiambia hio vocha ishaingizwa kwenye namba wao wananipa 5 za mwanzo naunga naanza tongozo
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Aisee wewe una haki ya kukataa ndoa kwakweli, maana SAA hizi demu anataka umuunge unlimited bundle, au atleat GB 5 kumbe mjuba huku upo kwenye sadakalawe ya kupata vocha ya buku.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaogombea vocha hapa wote ni wanaume, mademu siwaoni, halafu watu wakiamka wanaandika kataa ndoa, kumbe tatizo ni matunzo ya mke hakuna, vocha yenyewe shida,