Natumia jukwaa hili kutoa ofa ya Vocha bila kutaja mtandao, atakayeipata imsaidie

Natumia jukwaa hili kutoa ofa ya Vocha bila kutaja mtandao, atakayeipata imsaidie

Mkuu hio njia nilikuwa natumiaga kupata pisi za kishua nilikuwa naenda supermarket za kishua pisi ikinunua vocha tu ikatupa naingiza napata namba 5 za mwisho Kama ulivyo fanya ww alafu napiga 100 nawatajia namba ya vocha wao wananiambia hio vocha ishaingizwa kwenye namba wao wananipa 5 za mwanzo naunga naanza tongozo
Mmh kaaz kweli kwel

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Haya sasa wakuu, leo nimefunga kwaresma so hela yangu ya breakfast na lunch natoa vocha za elfu 20 kumi kwa tigo na kumi kwa voda.

Twende kazi
Tigo 235374855487
Voda 58884763863

Mmebarikiwa sana.
 
Haya sasa wakuu, leo nimefunga kwaresma so hela yangu ya breakfast na lunch natoa vocha za elfu 20 kumi kwa tigo na kumi kwa voda.

Twende kazi
Tigo 235374855487
Voda 58884763863

Mmebarikiwa sana.
Mkuu hizi ni za sh elfu kumi au unatoa vocha 20 harafu da zimeshatumika aisee wajuba
 
Mkuu hio njia nilikuwa natumiaga kupata pisi za kishua nilikuwa naenda supermarket za kishua pisi ikinunua vocha tu ikatupa naingiza napata namba 5 za mwisho Kama ulivyo fanya ww alafu napiga 100 nawatajia namba ya vocha wao wananiambia hio vocha ishaingizwa kwenye namba wao wananipa 5 za mwanzo naunga naanza tongozo
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Aisee wewe una haki ya kukataa ndoa kwakweli, maana SAA hizi demu anataka umuunge unlimited bundle, au atleat GB 5 kumbe mjuba huku upo kwenye sadakalawe ya kupata vocha ya buku.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom