Natumiwa sana na ndugu zangu kwenye shida zao. Zikiisha wanapotea

Natumiwa sana na ndugu zangu kwenye shida zao. Zikiisha wanapotea

Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia

Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.

Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi

Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?
Sasa unataka wakutafute bila sababu ya msingi ??

Yani mtu akusumbue kukupigia simu halafu akwambie tu "nilikuwa nakusalimia" si ndio hivyo unavyotaka au?
 
Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia

Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.

Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi

Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?
Usiwe legelege... jikite na familia yako!! Assess kama wao wanakusaidia..! Kama hawakusaidii au hawana hata ukaribu nawe wa kuongea na kubadilishana tu mawazo bila kuomba msaada achana nao. Hawa ndio watu wale baadae mambo yako yakibuma wanakusema kuwa ulipata fursa ila uliichezea wakati kiuhalisia kiasi ulikua ukiwasaidia...
 
Binafsi nimekua mhanga wa hilo kwa miaka.
Siku moja nikajitafakariiiiiii nikajifunza kusema Sina/Hapana.
Tangu hapo nimepoteza wengi na kununiwa wengine wamekua maadui kabisa kunisema vibaya kwa watu lakini haijanidhuru maana nimepunguza mzigo wa watu na nina aammani
 
Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia

Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.

Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi

Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?
Yawezekana ndipo dunia ilipotufikisha hapa maana mimi nimefikia mahala nataka kujifunza kuwa na roho ngumu nisisaidie tena mtu.
 
Back
Top Bottom