Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Sasa unataka wakutafute bila sababu ya msingi ??Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia
Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.
Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi
Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?
Usiwe legelege... jikite na familia yako!! Assess kama wao wanakusaidia..! Kama hawakusaidii au hawana hata ukaribu nawe wa kuongea na kubadilishana tu mawazo bila kuomba msaada achana nao. Hawa ndio watu wale baadae mambo yako yakibuma wanakusema kuwa ulipata fursa ila uliichezea wakati kiuhalisia kiasi ulikua ukiwasaidia...Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia
Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.
Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi
Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?
Yawezekana ndipo dunia ilipotufikisha hapa maana mimi nimefikia mahala nataka kujifunza kuwa na roho ngumu nisisaidie tena mtu.Yaani natumika sana na watu wanaokuwa na ukaribu na mimi wakihitaji msaada wa kifedha au kihisia
Kwa sasa naweza sema ukiacha ndugu zangu, watu wote waliobaki wana ji attach kwangu tuu wakiwa na shida. Kuna mmoja yakimkuta kwa siku utapokea simu zaidi ya kumi, kila mara, akishatatua shida yake anapotea.
Wengine pia ndio hivyo, mtu akiwa na shida ndo anakutafuta. Kuwaambia sina wanapoomba ndiyo siwezi
Hii circle ya watu wa aina hii niko nayo mimi tuu au hata nyinyi?