Natural girls live interview on DJ sepetu show!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe ndo tabia yako sio

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu majuzi hiyo mfanyiwa interview maswali yetu yalimkera asinijie na I'd ya kiume kuanza kusema nimemtapeli nauli ilikua balaa akaweka na picha zake za peramiho huko ndio shunie mm sasa nikiona mtu hivyo woiii naona yale yale
 
Ooohpss [emoji134] [emoji134] [emoji134] afadhali nikajua nimekutapeli nauli show imeishia kati leo hakuna kitu
kumbe.. ,bt Inshaallah sikutembea bure nilifanikiwa kukutana na miss chaga
 
Kumbe kuna watu wanakereka mbona sijawahi hata muona au anasoma kimya kimya weee endelea muosha naniliu na interview piga kaziii
[emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji419] [emoji375] [emoji375] [emoji375] [emoji375] [emoji375] [emoji375]
Nakazia tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] pole luv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…