Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa stable halikuwepo. Umeanza kuimproveJuz na majuz lilikuwepo!?
Naweza andaa platform na nikamuita shunie aku host
muosha rungu
Ili akupige maswali yakibashite yale unayopenda kuyasikia tuu.Kabisaaa atanipiga nondo sana[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]Ila nilikuwa siwezi kulimalizia[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapana siwezi kuyajua before lakini yawe maswali yenye manufaa.Ili akupige maswali yakibashite yale unayopenda kuyasikia tuu.
Dj ungemtafuta suzie-barbie umfanyie interview hapa..it will be the best ever [emoji41]Interview imeboreshwa hayo maswali umekutana nayo wapi
muosha rungu
Anakuwa jukwaaa gani hasaDj ungemtafuta suzie-barbie umfanyie interview hapa..it will be the best ever [emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mamaHapana siwezi kuyajua before lakini yawe maswali yenye manufaa.
Hahaaa acha bwana! Kuanzia page gani yametokea? Uzi huuhuu?Stable hukuwepo yaani kilikuwa kichambo kwa kwenda mbele [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mpaka dj kimambi akakimbia baraza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimeuona huo uzi wa Husna ndio gafla akageuka kuwa Ericksawa mama mimi nimenasia hapa kwenye ushilawadu kama kuna mwingine uniite nisikose uhondo.nisikose tena kama nilivyokosa wa husna the bosslady
Kwakweli sina idea atakuwa jukwaa gani kwa sasa ila nakumbuka nilishiriki tu kwenye uzi wake wa ''wanawake wanaochepuka na waume wa watu''..siku nyingi sijamuona humu but ukimpata ukamwambia na akakubali bac itakuwa vema[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nilipendezewa na majibu yake ambayo yanaonyesha upeo wake mzuri wa kujibu vizuri kulingana na anachoambiwa..ila akiudhiwa ana hasira balaa..jaribu kumtafutaAnakuwa jukwaaa gani hasa
muosha rungu
Poa nitapekua pekua nitampata mmuKwakweli sina idea atakuwa jukwaa gani kwa sasa ila nakumbuka nilishiriki tu kwenye uzi wake wa ''wanawake wanaochepuka na waume wa watu''..siku nyingi sijamuona humu but ukimpata ukamwambia na akakubali bac itakuwa vema[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] nilipendezewa na majibu yake ambayo yanaonyesha upeo wake mzuri wa kujibu vizuri kulingana na anachoambiwa..ila akiudhiwa ana hasira balaa..jaribu kumtafuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye interview ya richaabra by muosha expel [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Naomba unitag nami niuone
Angalia threads alizoanzisha muosharungu kuna uzi wa interview ya husna the bosslady utaukuta!Naomba unitag nami niuone
WoyoooooMimi interview yangu huiwezi wewe labda nihojiwe na
Shunie
Sakayo
Emmyta
Ukhuty
Cab
Ney Bright
Hao wataniweza wewe na maswali yako ya Hogo au kibamia mi si sahizi yangu hayo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]