Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Hakuna kitabu kilichoshushwa.

Ni mohamad alidai amepokea mafunuo, akawasimulia wafuasi/wanafunzi wake, then hao waliosimuliwa wakaandika kwenye maandishi.

Baadae wafuasi wengine wakaanza kukusanya-kusanya vipisi vilivyoandikwa na hao wafuasi wa mwanzo wa mohamad,then ndio hicho kitabu kikakamilika jinsi lilivyo leo.

Hapo kushushwa kunatokea wapi sasa?
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Quran iliyoshuka kutoka kwa Mungu inasema jua jioni huwa linazama kwenye tope!
 
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa 😆😆
 
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa 😆😆
Acha mzaha
 
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa 😆😆
Paul katika harakati za mizunguko yake huku na huko akafika sehemu ya bahari zilizoungana(maji yake hayachangani) kwa kuwa Paul alikuwa na elimu ya mazingira ili jambo haikuwa habari kwa Paul.. Baada ya miaka mia 5 na ushee Bwana yule sijui alisimuliwa na nani kuhusu hiyo bahari"kwake ikawa ni muujiza na ikawekwa kwenye mafunuo yake".. Kuna wakati nahisi kwamba "yule bwana angelibahatika kufika ngorongoro na kuona nyayo za watu wa kale... nyayo hizo zingelitungiwa scripts na kuitwa nyayo za nabii fulani alipokuwa akienda Makka ama Madina" .
 
Quran iliyoshuka kutoka kwa Mungu inasema jua jioni huwa linataka kwenye tope!
Hii aya wana nzuoni wa kiislamu wameitolea ufafanuzi mzuri sana. Haina shida yoyote hii aya.
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Sidhani kama ulicho kiandika mwenyewe umekielewa
 
Paul katika harakati za mizunguko yake huku na huko akafika sehemu ya bahari zilizoungana(maji yake hayachangani) kwa kuwa Paul alikuwa na elimu ya mazingira ili jambo haikuwa habari kwa Paul.. Baada ya miaka mia 5 na ushee Bwana yule sijui alisimuliwa na nani kuhusu hiyo bahari"kwake ikawa ni muujiza na ikawekwa kwenye mafunuo yake".. Kuna wakati nahisi kwamba "yule bwana angelibahatika kufika ngorongoro na kuona nyayo za watu wa kale... nyayo hizo zingelitungiwa scripts na kuitwa nyayo za nabii fulani alipokuwa akienda Makka ama Madina" .
Paulo aliikutia wapi hiyo bahari, una ushahidi wowote, paulo alikuwa wapi na bahari zinapokutana bila kuchangamana ziko sehemu zipi?
 
1. Iweke sawa.

2. Kati ya kitabu na binadamu nani muongozo kwa mwenzie? Ikiwa ni kitabu basi ndi maana kimekamilika kinamuongoza huyu asiyekamilika(binadamu)
Kitabu kilitungwa/kiliandikwa na nani?

Sio binadamu walioandika?( najua utakuja na stori ya kushushwa kwa quran).

Quran ilishuka kiaje? wakati ni mohamad alisimulia watu maono yake (aliyodai ameshushiwa) na hao waliosimulia wakaandika then wakaja wengine tena wakakusanya-kusanya hapa na pale hayo maandiko ndio kikaja hiki kitabu cha leo?
 
Paulo aliikutia wapi hiyo bahari, una ushahidi wowote, paulo alikuwa wapi na bahari zinapokutana bila kuchangamana ziko sehemu zipi?
Aliikuta wapi!! Unataka kuuliza ama kusema nini?. Bahari ni kitu stationed sio movable hata uulize Aliikuta wapi as if uwa ina hama hama kutoka eneo moja kwenda jingine. Ilipo leo ndipo alipoikuta Paul na ndipo alipoikuta aliyemsimulia Mwamedi kuhusu hiyo bahari.
 
1. Iweke sawa.

2. Kati ya kitabu na binadamu nani muongozo kwa mwenzie? Ikiwa ni kitabu basi ndi maana kimekamilika kinamuongoza huyu asiyekamilika(binadamu)
Simba ili awe Simba katika ukamilifu wake anaongozwa na Kitabu chochote ?

Kinyonga kubadili rangi kulingana na mazingira yake kuna Kitabu KINACHO muongoza kufanya hivyo?

Au MUNGU ndio kamuumba hivyo tayari akiwa ameweka ndani yake tabia hizo?

Kitabu kimeandikwa na mwanadamu.

Mwanadamu ameumbwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom