Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Akili yako ni tunu ya taifa
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Kwani nyinyi wagalatia sikuhizi mna shida gani mbona mnalialia sana kuhusu Quran?

Mmekosa hoja ya kuthibitisha kuwa Quran ni maneno ya uongo mmebaki mnalialia tu

Allah alishajua kuwa hakuna binadamu atakaeweza kuthibisha kuwa Quran sio kitabu Cha Mungu

Na ndio maana akasema ndani ya Quran asiyemtaka mtume Muhammad basi na ACHUKUE KAMBA AJINYONGE
 
Nikwambie kitu mkuu. Wewe ni kiazi. Unalidhalilisha jina la mufti.


Na wasiwasi hata kama madrassa umepita wewe.

Kama umeweza kukariri kiarabu unashindwa vipi kuelewa hoja nyepesi kama hii.


Muislamu unatakiwa kuwa mjanja mjanja.
Ujanja janja Upo huko, kwenu, Akina masanja wamecheza komedi, wakaons hailipi leo hii nae mchungaji, anawapiga wenzie pesa.

Gwajima ameuza genge kule kwa Matias Kibaha, Leo hii anawapiga watu pesa.

Hivi unamjia mwingira, anawapiga watu pesa vya kutoshs, amewekeza sana kwenye ardhi, waumini wake huenda kuhiji shambani kwake kibaha mara mbili kwa mwaka, wakiwa huo yeye huwalisha na garama wanajilipia.

Niishie hapa ila ujanja ujanja, upo kanisani na wajinja wajinga wapo huko pia.
 
Huu uzi wa pili leo unakosoa uislam ule wa mwanzo umetoa mpaka kipande cha biblia. Kama wewe atheists amini unacho amini sisi waislam tunaamini tunacho kiamini. Wewe una imani yako na sisi tunayo yetu.
 
Kwa hiyo waliozowa bila ndoa halali gesti ndio wasifie dini??
Mkuu acha tufie dini, maana sisi hatuzaliwa kwa mimba za gesti bali kwa ndoa halali, hivyo tumekua kufuata maadili ya kijamii kupitia dini zetu.

Unajua watoto wengi, wanaozaliwa gesti hukosa matunzo mazuri ya wazazi.
 
Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu
Naongeza hapa ikiwa imekamilika kwann kuna kitu kinaitwa fatwa(sina uhakika na spellings zake) yaani ile kitu ambacho kimetokea na quran haijatoa mwongozo wake badala yaka wanadamu( wasomi wa dini) ndiyo hukitolea mwongozo. Kwanini iwe hivyo ilihali mnasema quran
imekamilika?
 
Kitabu kilitungwa/kiliandikwa na nani?

Sio binadamu walioandika?( najua utakuja na stori ya kushushwa kwa quran).

Quran ilishuka kiaje? wakati ni mohamad alisimulia watu maono yake (aliyodai ameshushiwa) na hao waliosimulia wakaandika then wakaja wengine tena wakakusanya-kusanya hapa na pale hayo maandiko ndio kikaja hiki kitabu cha leo?
Kwanza hakijatungwa, kimehamishiwa katika maandishi na watu.

Quraan ni maelekezo aliyokuwa akipewa(kauli ya kushushwa ni kutokana na kuamini mungu yupo juu, hivyuo kitokacho juu kuja chini ni kimeshushwa,) malaika jibril ndio mara nyingi alikuwa anakuja na hayo maelezo (MUONGOZO) juu ya jambo fulani, nae baada ha kufundishwa alikuwa akiwafundisha maswahaba wake, kuwa mola wetu mlezi kasema kadha kadha wa kadha. Baadae wakaamua kuhamishia kwenye maandishi kwa sababu ya kuogopa watu kubadili vitu sababu ya mapokezi, nadhani tulijifunza maneno kupokewa pokewa huwa yanabadilika, mwishowe itabadilika maana.

Hii quraan haijawahi badilika ukichukua msahafu wa mwaka 1950 uko sawa na wa leo, ukipata nakala ya 1000 huko ni iko sawa na ya leo.


AHSANTE
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Wewe sio muislamu,wacha kujitekenya,huku wacheka.
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumba na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Jua linazama kwenye matope mazito, au siyo?
 
Aliikuta wapi!! Unataka kuuliza ama kusema nini?. Bahari ni kitu stationed sio movable hata uulize Aliikuta wapi as if uwa ina hama hama kutoka eneo moja kwenda jingine. Ilipo leo ndipo alipoikuta Paul na ndipo alipoikuta aliyemsimulia Mwamedi kuhusu hiyo bahari.
Maana yangu ni kwamba labda tuongee kwa mfano.
Unaposema Muhammad alisikia habari kwa Paul, nataka kujua huyu paulo hiyo bahari isiyochangamana aliijulia/kuiona wapi?

Mfano we unaishi bongo hapa habari za kangaroo wa Australia unazijuaje kama hujawaona. Kwa teknolojia ya sasa utasoma hata google au insta... Sasa kipindi hiko paulo aliionea wapi bahari ya maji kutokuchangamana, maana moja ya sehemu hiyo ni huko Marekani kama sikosei, sasa aliionea wapi kiasi asimulie mpaka mtume asikie kwake?
 
Kwani nyinyi wagalatia sikuhizi mna shida gani mbona mnalialia sana kuhusu Quran?

Mmekosa hoja ya kuthibitisha kuwa Quran ni maneno ya uongo mmebaki mnalialia tu

Allah alishajua kuwa hakuna binadamu atakaeweza kuthibisha kuwa Quran sio kitabu Cha Mungu

Na ndio maana akasema ndani ya Quran asiyemtaka mtume Muhammad basi na ACHUKUE KAMBA AJINYONGE
Umemaliza mjadala.Kutwa wanalia lia na kulalamika. Enyi wagalatia msio na akili nani amewaroga?
 
Back
Top Bottom