Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Ni kama umejitia kidole mwenyewe halafu unajinusa mjinga ww.
 
Hoja ya kwamba binadamu ameumbwa na Mungu umeipata wapi? Na kama una ushahidi hebu weka hapa .

Note
Haufungamani na dini yoyote ile hivyo sitarajii jibu lako liegemee kwenye dini yoyote ile .
Nimejua kwamba nimeumbwa na Mungu kupitia :


1. My third brain ( it is known as Subconscious Brain or Subconscious Mind)

I have downloaded the message from the universal mind. Everything about everything that humans need to know is in the universal mind...


2. By studying the nature.


3. Sijazaliwa taburalasa. Nimezaliwa tayari Mungu akiwa ame print this information in my dna.

Sikuwahi kufundishwa kudindisha nikimuona mwanamke yupo nusu uchi.

Ila ulipofika wakati wa kufanya hivyo nolijikuta nadindisha tu.

Alienifundisha kudindisha. Alienifundisha kukunja ngumi. Alienifundisha kukimbia kwenye hatari.Alie nifundisha kunyonya, alienifundisha kuweka CHAKULA kupitia mdomoni, Alienifundisha kuogopa giza nikiwa mtoto mchanga etc ndio alienifundisha " subconsciously" kwamba Mungu yupo na kwamba mimi nimeumbwa na Mungu
 
Ni dhahiri kuna maandiko kwenye hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu kwa akili tu ya kawaida hayaiingii akilini ila kwasababu wameambiwa ni dhambi kuyahoji wanabaki kimya kama kuku mtaga mayai
 
Ni dhahiri kuna maandiko kwenye hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu kwa akili tu ya kawaida hayaiingii akilini ila kwasababu wameambiwa ni dhambi kuyahoji wanabaki kimya kama kuku mtaga mayai
Nakazia
 
Ni dhahiri kuna maandiko kwenye hivyo vitabu mnavyoviita vitakatifu kwa akili tu ya kawaida hayaiingii akilini ila kwasababu wameambiwa ni dhambi kuyahoji wanabaki kimya kama kuku mtaga mayai
Watu wajinga hamna elimu mnapata wapi ujasiri wa kukosoa maandiko matakatifu
 
Simba ili awe Simba katika ukamilifu wake anaongozwa na Kitabu chochote ?

Kinyonga kubadili rangi kulingana na mazingira yake kuna Kitabu KINACHO muongoza kufanya hivyo?

Au MUNGU ndio kamuumba hivyo tayari akiwa ameweka ndani yake tabia hizo?

Kitabu kimeandikwa na mwanadamu.

Mwanadamu ameumbwa na Mungu.
Scientifically ndio Dna zetu zimeandikwa, ili Uwe Binadamau, Kinyonga, Simba una specific Dna zinazokuongoza. Na Dna maelekezo namna gani tu behave.
 
Scientifically ndio Dna zetu zimeandikwa, ili Uwe Binadamau, Kinyonga, Simba una specific Dna zinazokuongoza. Na Dna maelekezo namna gani tu behave.
Exactly mkuu. Ur the true son of ur father.

Watu wa dini eti wao wanaamini Kitabu ndio kimeshushwa kumuelekeza binadamu jinsi ya kuishi.😂😂😂

Ndio maana kiranga huwaga anawaita wagonjwa wa akili..
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Umeandika nini sasa wewe ni miongoni mwa watu wajinga sana,unaandika kama umeshurutishwa ,ungetemani hata ile bar ya delete itokee ,ndo kizazi cha siku hizi unaleta hoja isiyo na miguu wala kichwa ,siku ingine atleast upangilie hoja vizuri
Screenshot_20221210-135813_1.jpg
 
Jamaa alikariri vifungu vya biblia ambayo ilikuwa Ipo miaka mingi, kwenye nchi za kikristu alipokwenda na wajomba zake kwenye biashara wakati huo alikozaliwa walikuwa hawajui dini zaidi ya kuabudu kwenye mawe, akaja kuchanganya na maneno yake ndio akawalaghai imeshushwa [emoji38][emoji38]
Sasa biblia kama kweli inatoka kwa mungu hiyo biblia mbona yanatoka matolea yake wakati aliyeandika ni mmoja agano moja linasema msile nguruwe jingine linaruhusu litakalotoka sasa hivi mtaambiwa kuona jinsia moja ni sawa alieleta kitabu hayupo ila matoleo yake yanaendelea kutoka kweli hilo lipo sawa nielimishe kidogo mkuu nipo tayari kujifunza.
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
@LIKUD acha uongo bhana ww ni kufar

Natoa mfano wa kitu kingine mwenye akili ataelewa na pia anaetaka ubishi usio na mwisho pia ataelewa lakin atajifanya kujibu utumbo ili kudhihirisha upumbavu wake.


Haya ww bwana ulitaka waumbwe binadamu wote na afya njema wote wenye miraba minne wote wana hela kama elon musk ?? Duniani watu wangeishi vip?

Ulitaka kila mtu awe na akili timamu?? Kila mtu awe mwalimu ,kila mtu awe bankers,

Hivi sijui unanielewa lakini?

Ulishawai enda sokon ukaona machungwa yote yanayouzwa yapo vizuri hayana dosari au ndizi zote ni aina moja size moja bei moja.???

Hivi sijui mnanielewa lakin nyie viumbe wazito???

Dunia haiwez kuenda kwa kuwa na watu sampuli moja wote

Ulitaka wote tuwe wagalatia au wote tuwe waislamu ,sasa hapo tabaka gani litawaelimisha wengine.??


Mapungufu ya binadamu ndio ukamilifu wake ,yan mwanadamu kuwa na mapungufu ndio sifa yake kuu

Ila sasa ambae hana mapungufu hata punje ni muumba mwenyewe Allah jala jalali ,Allah tabaraka wataala ,Al malku lkulubu ,Allah ambae ameumba mbingu na Ardhi pasipo na nguzo
Allah ambae anawasikia viumbe wake wote dunian kwa wakati mmoja na anajua mpaka unachofikiria hapo kichwani mwako ,anajua pia kesho utaamka saa ngapi

Allah mwenye kusifiwa ,

Naishia hapa maana sifa za Allah ni nyingi na watu wanahitaji kuelezwa ili wajue maana wasije wakaona kama wanaishi kwa nguvu zao na pesa zao wenyewe,mwisho wa siku wakapata kiburi kwa kujiona wao ndio wao hawagusiki

Allah waviumbe wote hata wale ambae hawajui kama wameumbwa na Allah ,pia wana nafasi ya kujivunia japo mioyoni mwao

Hata kama mbele ya watu watakuwa wanaabudu watu wao walio watengeneza katika fikra zao.


Note
Kwa wanaotaka kumjua Allah zaidi wanitafute wabillah taufiq......
 
Imekuwaje stories zikafanana sasa?
Hii hoja ishajibiwa sana humu jukwaani,

Quran imekuja kama Upgrade ya Taurat, Injili, Zaburi, so si jambo la ajabu kukuta vifungu vinafanana.

Na ili mwenyez Mungu kuthibitisha hakuishia na stori za Injili/Biblia tu bali ameongezea saidi ya hapo.

Leo kuna story kibao ambazo zipo kwenye Biblia Quran imezikosoa ama kuongezea na elimu ya sasa imethibitisha Quran ipo sahihi.

Mifano kama
1. Quran haijamtaja Mfalme wa Egpty kipindi cha yusuf kama farao, Biblia inamtaja kama Farao, Elimu ya sasa inakubaliana na Quran Hakuwa Farao kipindi cha Yusuf sababu Farao ni Cheo cha kidini na Kipindi cha Yusuf mfalme alitoka Syria hakuwa akiabudu dini moja na Watu wa Egpty.

Hivyo unaona Quran haijacopy bali inajua inachokiongelea, kama Angekuwa mtume amecopy na yeye pia angesema Mfalme kipindi cha Yusuf ni pharaoh.

2. Quran inasema specific Kipindi cha Ibrahim waliabudu miungu 3 jua, Mwezi na Nyota ya asubuhi (Ishtar) wakati si Biblia wala Taurat inaongelea nyota ya asubuhi wao wanaongelea tu mwezi na jua, gunduzi za karibuni za magofu ya Babylon huko Iraq inaonesha waliabudu miungu 3.


Pia yapo mambo mengi sana ambayo Biblia inayasema ila yamekuwa proved sio sahihi ila Quran haijayasema, kama Muhammad angekua anacopy tu angeyakopy na Biblia na Quran zote zingekua sio sahihi, mfano Claim ya Bible dunia imeumbwa miaka 5000 iliopita.
 
Exactly mkuu. Ur the true son of ur father.

Watu wa dini eti wao wanaamini Kitabu ndio kimeshushwa kumuelekeza binadamu jinsi ya kuishi.😂😂😂

Ndio maana kiranga huwaga anawaita wagonjwa wa akili..
We kilaza kweli, yaani Point inapinga Hoja yako unaona kama nakusuport?
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
We jamaa siku nyingi tu nishakuona hamnazo kupitia thread zako na comments zako
 
Mkuu mimi Sio dhaifu. Wewe na mke wako ndio dhaifu. MWENYEZI MUNGU hawezi kuumba kitu dhaifu.

King David anasema " I am wonderfully and fearfully created".


Hoja yangu ume i ng'ata vizuri sana ila umeamua tu kuandika kujifurahisha.

Narudia tena : waislamu wanamsema Kitabu chao ndio Kitabu cha ukweli ambacho kimetoka KWA Mungu mwenyewe. Uthibitisho wao kwamba Qur'aan imetoka KWA Mungu ni Kitabu hicho kutokuwa na kosa hata moja. . Biblia? Wanasema haijatoka KWA Mungu kwa sababu ina mapungufu.

Sasa kama hoja ni kwamba ili kitu kithibitike kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika na kisiwe na mapungufu yoyote vipi kuhusu wanadamu? Tuseme wanadamu nao hawajaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo wanadamu ambao Wana mapungufu ?

Tafakari mwenyewe ndani ya nafsi YAKO mkuu.

Tafakari UKIWA huru kabisa mkuu.
Sawa wewe sio dhaifu sasa kaa bila kula au kulala usingizi halafu utupatie mrejesho.
 
Back
Top Bottom