Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Umenena kweli tupu.Mkuu acha tufie dini, maana sisi hatuzaliwa kwa mimba za gesti bali kwa ndoa halali, hivyo tumekua kufuata maadili ya kijamii kupitia dini zetu.
Unajua watoto wengi, wanaozaliwa gesti hukosa matunzo mazuri ya wazazi.