Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Nature inavyo-expose hoja ya ukamilifu wa QUR'AAN

Mkuu acha tufie dini, maana sisi hatuzaliwa kwa mimba za gesti bali kwa ndoa halali, hivyo tumekua kufuata maadili ya kijamii kupitia dini zetu.

Unajua watoto wengi, wanaozaliwa gesti hukosa matunzo mazuri ya wazazi.
Umenena kweli tupu.
 
Simba ili awe Simba katika ukamilifu wake anaongozwa na Kitabu chochote ?

Kinyonga kubadili rangi kulingana na mazingira yake kuna Kitabu KINACHO muongoza kufanya hivyo?

Au MUNGU ndio kamuumba hivyo tayari akiwa ameweka ndani yake tabia hizo?

Kitabu kimeandikwa na mwanadamu.

Mwanadamu ameumbwa na Mungu.
Je simba kaumbiwa utashi kama mwanadamu, simba kawekewa moto, simba kuna sheria ya baya na zuri,!?

Simba mtoto kumpanda bimkubwa wake sio tatizo, simba kudhurumu chakula cha chui si tatizo, sisI wenye utashi ndio tumeelekezwa kwenye kitabu(muongozo) bwana fulani kugonga bila ya kuoa ni dhambi, umeumbiwa kugonga lakini fanya hivi na hivi, ebwana eeh, usifanye tendo fulani na aliyekuzaa hilo ni kosa, ukitaka kufanya jambo fulani fanya hivi.
 
Naongeza hapa ikiwa imekamilika kwann kuna kitu kinaitwa fatwa(sina uhakika na spellings zake) yaani ile kitu ambacho kimetokea na quran haijatoa mwongozo wake badala yaka wanadamu( wasomi wa dini) ndiyo hukitolea mwongozo. Kwanini iwe hivyo ilihali mnasema quran
imekamilika?
Kasome,huwezi kuelewa kitu bila kusoma.Hizo fatwa ndio ujuwe uislamu,uko huru,kuchaguwa kilicho na uwezo wa muislamu.
 
Kwanza hakijatungwa, kimehamishiwa katika maandishi na watu.

Quraan ni maelekezo aliyokuwa akipewa(kauli ya kushushwa ni kutokana na kuamini mungu yupo juu, hivyuo kitokacho juu kuja chini ni kimeshushwa,) malaika jibril ndio mara nyingi alikuwa anakuja na hayo maelezo (MUONGOZO) juu ya jambo fulani, nae baada ha kufundishwa alikuwa akiwafundisha maswahaba wake, kuwa mola wetu mlezi kasema kadha kadha wa kadha. Baadae wakaamua kuhamishia kwenye maandishi kwa sababu ya kuogopa watu kubadili vitu sababu ya mapokezi, nadhani tulijifunza maneno kupokewa pokewa huwa yanabadilika, mwishowe itabadilika maana.

Hii quraan haijawahi badilika ukichukua msahafu wa mwaka 1950 uko sawa na wa leo, ukipata nakala ya 1000 huko ni iko sawa na ya leo.


AHSANTE
Wakati Mohamad anapewa hayo mafunuo na Jibril, nani alishuhudia?

Quran imesimuliwa na Mohamad , maana yake kwenye masimulizi Mohamad alisema kuwa alishushiwa hayo maelekezo.

Sasa swali: Wakati Mohamad anapewa/anashushiwa, ni nani aliona au alithibitisha hilo tukio?
 
Quran iliyoshuka kutoka kwa Mungu inasema jua jioni huwa linataka kwenye tope!
Kama unataka Kujua Quran inasemaje kuhusu jua uliza tukufundishe

Quran inasema jua linaogelea angani

Je! Angani Kuna matope? Jibu ni kwamba angani hakuna matope ila wewe akili zako ndio zimejaa matope

Quran 21:33.
Na Yeye ndiye aliye umba usiku na mchana na jua na mwezi, vyote katika anga vinaogelea.
 
Wakati Mohamad anapewa hayo mafunuo na Jibril, nani alishuhudia?

Quran imesimuliwa na Mohamad , maana yake kwenye masimulizi Mohamad alisema kuwa alishushiwa hayo maelekezo.

Sasa swali: Wakati Mohamad anapewa/anashushiwa, ni nani aliona au alithibitisha hilo tukio?
Hakuwepo shuhuda.

Hivyo kukosekana ushuhuda inaharibu maelekezo aliyopewa? Kinachojajiwa ni mashuhuda au impact ya maneno yake.
Ikitokea nimeokata pesa hakuna shuhuda haifai kuitumia kisa hakuna shuhuda?
 
Kwa hiyo waliozowa bila ndoa halali gesti ndio wasifie dini??
Wataijulia wapi na hawakupata malezi mema, Baba hamjui, mama anamuita mtoto mbwa, Unategemea amwambie mtoto aende Msikitini, au kanisani.
 
Hakuwepo shuhuda.

Hivyo kukosekana ushuhuda inaharibu maelekezo aliyopewa? Kinachojajiwa ni mashuhuda au impact ya maneno yake.
Ikitokea nimeokata pesa hakuna shuhuda haifai kuitumia kisa hakuna shuhuda?
Kumbe hamna aliyeshuhudia.

Kumbe ni muhamad aliwafuata wafuasi wake akawaambia "Malaika Jibril amenitokea na ameniambia hivi na vile..."

How can we prove kuwa ni kweli? Hebu tutumie akili zetu kujibu hili...TUTAAMINIJE kuwa kweli alitokewa? Nani aliona? Yaani ushahidi uko wapi?

Mimi nikisema Malaika amenitokea akaniambia hivi na hivi , wewe hapo utaniamini?
 
Kwani aliyeshuhudia wakati musa anapewa torati ni nani, aliyeshuhudia wakati yesu anapewa injili ni nani? aliyeshuhudia wakati daudi anapewa zaburi ni nani?.
Kumbe hamna aliyeshuhudia.

Kumbe ni muhamad aliwafuata wafuasi wake akawaambia "Malaika Jibril amenitokea na ameniambia hivi na vile..."

How can we prove kuwa ni kweli? Hebu tutumie akili zetu kujibu hili...TUTAAMINIJE kuwa kweli alitokewa? Nani aliona? Yaani ushahidi uko wapi?

Mimi nikisema Malaika amenitokea akaniambia hivi na hivi , wewe hapo utaniamini?
 
Kumbe hamna aliyeshuhudia.

Kumbe ni muhamad aliwafuata wafuasi wake akawaambia "Malaika Jibril amenitokea na ameniambia hivi na vile..."

How can we prove kuwa ni kweli? Hebu tutumie akili zetu kujibu hili...TUTAAMINIJE kuwa kweli alitokewa? Nani aliona? Yaani ushahidi uko wapi?

Mimi nikisema Malaika amenitokea akaniambia hivi na hivi , wewe hapo utaniamini?

"Na hawakumtukuza Allah haki ya kutukuzwa kwake, pale waliposema: Allah hakumteremshia mwanaadamu chochote. waambie:Ni nani aliyeteremsha kitabu alichokuja nacho musa, hali ya kuwa ni nuru na uongofu kwa watu, mlichokifanya kurasa kurasa mkizionyesha {baadhi yake!} na mkiyaficha mengi. Na mkafundishwa mliyokuwa hamyajui nyinyi wala baba zenu. Waambie: Ni Allah{ndiye aliyeteremsha} kisha waache katika upuuzi wao wakicheza."
quran 6:91

kusema ukweli quran ni kitabu cha maajabu mno kwa mwenye kuzingatia kina majibu ya mahitaji na maswali yote ya mwanadamu hapa duniani na baada ya kufa.
 
Hoja nyepesi ni kuwa hiyo quran ni maneno ya allah alie mkamilifu vipi itakuwa na mapungufu?.
Mungu wenu anajiita mkamilifu lakin bado kwenye maandiko yake anaonesha sio mkamulifu
.
Anasema kua ni mkamilifu, alafu anaumba watu baadae anawaangamiza (stori ya nuhu, sodoma & gomora etc...). Aliwaangamiza kwakua hawakutenda aliyotaka watende, hivo kazi yake haikua perfect in the first place.. hivo yy sio perfect.
.
Anajua yajayo, hivo anajua kama utatenda dhambi baadae alafu akuadhibu baada ya umauti wako. Does this make any sense?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Iweke sawa.

2. Kati ya kitabu na binadamu nani muongozo kwa mwenzie? Ikiwa ni kitabu basi ndi maana kimekamilika kinamuongoza huyu asiyekamilika(binadamu)
Na swali linakuja kwanini asubiri Miaka zaidi elfu 5 na Tangu kumuumba mwanadamu kushusha kitabu kilichokamilika ambacho ni mwongozo wa huyo mwanadamu asiyekamilika
 
Mungu wenu anajiita mkamilifu lakin bado kwenye maandiko yake anaonesha sio mkamulifu
.
Anasema kua ni mkamilifu, alafu anaumba watu baadae anawaangamiza (stori ya nuhu, sodoma & gomora etc...). Aliwaangamiza kwakua hawakutenda aliyotaka watende, hivo kazi yake haikua perfect in the first place.. hivo yy sio perfect.
.
Anajua yajayo, hivo anajua kama utatenda dhambi baadae alafu akuadhibu baada ya umauti wako. Does this make any sense?


Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu nieleweshe, ulitaka watu wamkanushe aliyewaumba halafu wapongezwe sio? kwahyo kuwaadhibu wakosaji na kuwalipa mema waliotenda wema sio katika uadilifu wake ni upungufu?.

Kuhusu kujua yajayo sisi waislamu tuna mlango mpana sana wa kuamini qadar na hapa hata waislamu wengi tu wameteleza na hawajaelewa mlango huu, so siwezi kukushangaa wewe.
 
Na swali linakuja kwanini asubiri Miaka zaidi elfu 5 na Tangu kumuumba mwanadamu kushusha kitabu kilichokamilika ambacho ni mwongozo wa huyo mwanadamu asiyekamilika
Hapana gap baina ya yesu na muhammad alayhima ssalaam ni miaka 600 tu na wakati huo bado torati na injili vilikuwa active.
 
Nianze ku declare interest. Nimezaliwa katika familia ya kiislamu/ ukoo wa kiislamu. Tena sio waislamu wa wasiwasi.

But ndani ya nafsi nimesha jivua huo utambulisho wa uislamu.

Siji identify na dini yoyote.


Nimeujua ukweli kuhusu dini zote.

Mungu alie umba Mbingu na ardhi na viumbe wote waliomo ndani yake hahitaji mimi niwe Mkristo wala muislamu ILI eti ndio anipende.

Mungu hajawahi kuwa na Nabii wala Mtume yoyote yule kwa sababu Mungu alimuumba mwanadamu akiwa amekamilika KWA KILA.kitu. ..

Kusema sijui Mungu alimtuma Nabii nani nani sijui KWA watu ni kuidhalilisha sifa ya uungu alio nao..

Mungu angehitaji watu wake wawe kama ambavyo amesema kwenye hayo yanayo itwa maandiko ya watu alio watuma angewapa wanadamu uwezo wa kufanya hivyo toka binadamu wa KWANZA.




Mungu hana watu ambao eti ndio wateule wake eti taifa lake .

Wala hapa duniani hakuna sehemu ambayo ni takatifu kushinda nyingine.


Sehemu zote ni SAWA KWA Mungu.


Back to the point..


Hoja ya waislamu ni kwamba Kitabu chao ndio kimetoka KWA Mungu na sababu yao ni kwamba Kitabu chao hakina makosa..Kitabu chao kimekamilika...

Hapa wanamaanisha kwamba ILI kitu kitajwe kwamba kimetoka KWA Mungu ni lazima kiwe kimekamilika yani kisiwe na kasoro hata kidogo.


Kama jibu ni ndio, waislamu mna.majibu GANI kwa hoja hii?

1. Je binadamu hajawaumbwa na Mungu kwa sababu miongoni mwao wamo walio na mapungufu mfano walemavu wa aina mbalimbali?


2. Waislamu wanasema Qur'aan imekamilika.kwa sababu imetoka KWA Mungu lakini hao hao ndio wa KWANZA kusema " MWAMADAMU NI KIUMBE MWENYE MAPUNGUFU. KIUMBE DHAIFU...


So waislamu mnataka.kusema kwamba KWA Mungu mnae.muabudu ninyi ni muhimu zaidi kwake kushusha Kitabu ambacho kimekamilika.kuliko kuumba binadamu ambae amekamilika?....
Hoja ya kwamba binadamu ameumbwa na Mungu umeipata wapi? Na kama una ushahidi hebu weka hapa .

Note
Haufungamani na dini yoyote ile hivyo sitarajii jibu lako liegemee kwenye dini yoyote ile .
 
Maana yangu ni kwamba labda tuongee kwa mfano.
Unaposema Muhammad alisikia habari kwa Paul, nataka kujua huyu paulo hiyo bahari isiyochangamana aliijulia/kuiona wapi?

Mfano we unaishi bongo hapa habari za kangaroo wa Australia unazijuaje kama hujawaona. Kwa teknolojia ya sasa utasoma hata google au insta... Sasa kipindi hiko paulo aliionea wapi bahari ya maji kutokuchangamana, maana moja ya sehemu hiyo ni huko Marekani kama sikosei, sasa aliionea wapi kiasi asimulie mpaka mtume asikie kwake?
Mfano wako wa kangaroo si hai, si hai kwasababu kangaroo ni viumbe Wanaweza fugwa popote pale as long as mazingira yanaruhusu. Si kila aliewai ona kangoroo aliwaikwenda Australia ila kila aliwawai ona pale bahari zinakutana ni lazima aliwa kwenda sehemu husika.
Nikisema" Maduhu alifika na kuuona Mlima kilimanjaro" na wewe ukaniuliza" aliwai fika na kuoonae wapi? " nitakushangaa.. Nitakushangaa kwasababu Mlima kilimanjaro hauhami hata useme khamis aliwai uonea Pwani, so ni lazima maduhu nae ataje ni wapi alipounea.
Sasa, ngoja nikujibu kwa MUKTADHA wa LINI (sio wapi kama unavyosema wewe) Paul alikuwa mtu wa RUTI, jana alikuwa Damascus, kesho Jerusalem mara Yupo ulaya na safari zote hizo alikuwa akitumia farasi, ngamia, miguu ama na mashua. Paul kwenda ulaya ilikuwa kama vile wewe unatoka Vingunguti kwenda mwananyamala..Ama hujui kuwa ulaya na Marekani wanashare bahari? Unajua Titanic iliundwa ili ipige RUTI ulaya To Us😂?
 
Hebu nieleweshe, ulitaka watu wamkanushe aliyewaumba halafu wapongezwe sio? kwahyo kuwaadhibu wakosaji na kuwalipa mema waliotenda wema sio katika uadilifu wake ni upungufu?.

Kuhusu kujua yajayo sisi waislamu tuna mlango mpana sana wa kuamini qadar na hapa hata waislamu wengi tu wameteleza na hawajaelewa mlango huu, so siwezi kukushangaa wewe.
Kwann aumbe watu ili aje awaangamize baadae ihali anajua kabisa watatenda maovu...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom