Nature is amazing

πŸ˜‚πŸ˜…
Naamini kuna kitu kimetuharibu binadamu, kama ndege wako hivyo na tunasema hawana utashi, je wenye utashi mbona tunalala kwenye mabox tena Kariakoo
Binadamu anafanya vitu kwa muendelezo huenda anaelala kariakoo kesho ukamkuta kinyerezi na bonge ya nyumba ila hao ndege wao hubaki na maisha hayo ya kutengeneza nyumba muundo wa nyeti maisha yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…