Nature preserved! Only for nature lovers

Nature preserved! Only for nature lovers

FB_IMG_1641357355072.jpg
 
Ni wazo zuri pia.. Kila kitu kina pande mbili... Hasi na chanya.. Inategemea mizani itaelemea wapi, na nyakati ndio hutoa jibu sahihi na la kweli
Muda haudanganyi......muda utaamua.
Kama tayari ardhini kuna gesi na jua kila siku linatoka,na upepo unapiga tunashindwa kuvuna umeme wake tunakuja kukata miti isiyo na hatia,....muda lazima utatuhukumu
 
Dah hatari sana asee. Dedication iliyowekwa kwenye huo mti mpaka kufikia hapo sio ya kitoto pacha. Watu wana passion na mambo yako.

It's a generation thing. Ni kama urithi wa familia kaa vizazi kadhaa.
Kuna style nyingine inaitwa Terrarium, ukiacha Bonsai, unapanda mimea kwenye bakuli la kioo halafu unaweka maji then unafunika. Mimea ile inakua kwa unyevunyevu wa ndani.

Hii mtu hata kama una getto dogo, unaweza ukafanya kama ni mtu wa kuwa creative.
terrarium.jpg
BeautyPlus_20220105132100233_save.jpg
31e9fd6865b1a05fbb1d7cdd40c7f875--ewiges-terrarium-mini-terrarium-diy.jpg
 
Back
Top Bottom