Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini kabisa hili ni Photoshop
Na ndio maana nikasema makosa mawili hayatengenezi moja sahihi.. Ukataji miti kwa kisingizio chochote kile, iwe ujenzi, mkaa, umeme nk HAUKUBALIKI kwa viwango vyovyote vile.. Wenzetu huko nje wanalia sasa
Tulikuwa na kampeni nzuri sana ya KATA MTI PANDA MITI, Mashuleni tulikuwa na mashindano ya kupanda miti, NGO za kuhamasisha upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira zilikuwepo..! Haya yote leo hayapo! Tulikosea wapi kama Taifa?
Na ndio maana nikasema makosa mawili hayatengenezi moja sahihi.. Ukataji miti kwa kisingizio chochote kile, iwe ujenzi, mkaa, umeme nk HAUKUBALIKI kwa viwango vyovyote vile.. Wenzetu huko nje wanalia sasa
Tulikuwa na kampeni nzuri sana ya KATA MTI PANDA MITI, Mashuleni tulikuwa na mashindano ya kupanda miti, NGO za kuhamasisha upandaji wa miti na utunzaji wa mazingira zilikuwepo..! Haya yote leo hayapo! Tulikosea wapi kama Taifa?View attachment 2051977