Nauachaje huu mchepuko?

Rudi kwa mkeo kimya kimya.
Ila punguza UJINGA kwa kuacha mbachao kwa msala upitao. Ujinga mwingine ni kujimwaga kwa mchepuko KUHUSU habari zako na mkeo jambo hili ni baya hata kwenye kikao chetu wanaume Huwa tunalikemea kwa nguvu zote.
KUHUSU mali mwachie kwa roho nyeupe.
 
Hadi sasa nmeshajua aina ya kifo chako kupitia bainokra ya asili
 
Umesema unahofia mke wako asije kuchepuka?
 
Muache, mzulumu mali mlizochuma pamoja urudi kwa mkeo ukiwa ndani ya jeneza.
 
"Naona kama nampotezea mdua ana miaka 33 hana mahusiano mengine ni kama anasubiria mimi kauchana na mke wangu"

Ili nikushauri futa huo mstari unaoendelea baada ya neno miaka 33....katika andiko lako na kichwani kwako.

What goes around, comes around. Karma is real.
 
Mkuu Yan katika Moja na mbili wew ndo umeyumba hapo.hv mtu kwel huna focus nae inawezekanaj kufanyanae vitu vyote hvo.kiukwel huyo dad anastahili kupata hizo Mali acha tamaa na hiyo itakuwa dhambi mara dufu
 
Kama unayapenda maisha yako Fanya mgawane au umwachie hizo mali au zaa naye... tofauti na hapo Anza kuandika urithi kwa wanao maana kifo hakina muda mlefu kwako.

hata ni Mimi sitoweza kukubali umpotezee muda dada yangu kiasi hicho mbaya zaidi kawekeza fedha zake halafu ufanye uhuni huo, lazima nikufanyie umafia kwa gharama yoyote ile.
 
Tulia hapo hapo. Wanawake wa aina hiyo wachache Sana.
 
Anza upya,ushamaliza tamaa uliyoikimbilia ,Mwachie nyumba 1 na gari,au muuze mgawane lakini kuuza na kugawana ni ushamba
Kama unajiamini katika uanaume wako na utafutaji rudisha majeshi kwa mkeo mtafute mali za pamoja.Amini nakuambia mali hizo hazina baraka ukienda kuzitumia na mkeo
 
Wewe nipumbavu and be a
Acha upumbavu wewe kosa LA huyo mwanamke nini kukupenda ? Be a man kama humpendi acha tamaa mpe haki yake na unekiri mmetafuta wote mpaka akachukua mikopo kwa ajili yenu acha wizi mpe anachostahili kwa kua ni jasho lake then Rudi kwa mkeo .Nyinyi ndio sometimes mnafanya wanaume tuonakane shwaini kwa mambo kama haya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…