Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mimi nakili huu ni ujinga, ku argue na mtu mwenye upeo mdogo km ww, ukizingatia bado upo nyumbani unagombea shuka na wadogo zako.Huo ni ujinga
Ahahahahaha! Hama nchi dogo au usitupigie kelele humu.Kama ninavyokutambua kupitia profile yako mtoto wa shule.
Samahani huu n uzi wa vijana wenye akili pevu na sio uzi wa watoto wa shule.
Nadhani umeiba sima y mama ili ujifunze kutype,
Hadhani huamini kwenye uhuru wa kujieleza, tht why unataka tufanane mawazo na fikra.Tutofautiane kwenye yote ila kuubagaza utanzania umefeli jombaa,km vipi hama
Unaijua milembe ww?Usijali
Una shida ya afya ya akili
Una kichaa
Pole sana
Sidhani kama maandishi yanatoa sauti, ss hizo kelele zinatoka wapi?Ahahahahaha! Hama nchi dogo au usitupigie kelele humu.
Imeingia lakiniNani mwingine hajamaliza kusoma Uzi kama Mimi na hajaelewa?
Sababu ni moja tu iliyonivuta hapa. Kichwa cha mada. Nilipoona gazeti chini yake, nikaona nije huku mwisho kunyanyua hicho kipande kidogo.Cjivunii kuwa MTANZANIA
Huyu kimsingi ni mtu wa hovyo kutokea kwenye hii nchi,km vipi ahamie Somalia,Gaza au UkraineUnaijua milembe ww?
Nenda pale ukaulize km kichaa huwa anajitambua km yy n chizi.
So waweza kuniona mm kichaa kwa sababu sehemu ya kichwa chako inayokusaidia kwny ufahamu ikawa damaged.
So utajiona upo sawa kumbe teyari mwezi umeandama
Andika nawewe tuoneNenda nchi unayotaka, tusichoshane na maaandishi mengi kumbe takataka tu. Halafu unaweza kuta mtu mwenyewe umezaliwa kambi ya wakimbizi Ngara au Nyarugusu
Andika nawewe tuoneNenda nchi unayotaka, tusichoshane na maaandishi mengi kumbe takataka tu. Halafu unaweza kuta mtu mwenyewe umezaliwa kambi ya wakimbizi Ngara au Nyarugusu
Usisahau vibunda bank tofautiUtajiri wa mbongo ni kufanya kazi kuwa na nyumba na kuendesha Toyota hapo anaona kaukata
Nikikwambia utaamini?Sidhani kama maandishi yanatoa sauti, ss hizo kelele zinatoka wapi?
Watoto wa shule bhn, hv upo darasa la ngapi junior?
Wewe n hazina kwa taifa,Sina raha kabisa madudu ni mengi sana hii CCM ni janga . Tulio nje ya system tusio na tamaa tunaumia sana angalau tungekuwa na tamaa tungejaribu kupenya tukachote na sisi
🤣🤣 umenifurahisa uliposema utajiri wa mtanzania ni nyumba na toyota.Tanzania ni nchi yenye vilaza wa kutosha kwa mtu smart huwezi kujivunia kabisa
Kuanzia juu mpaka chini shida tupu wajinga wengi,wajuaji wengi na wkati hawajui lolote
Utajiri wa mbongo ni kufanya kazi kuwa na nyumba na kuendesha Toyota hapo anaona kaukata