Nauchukia Utanzania wangu

Nauchukia Utanzania wangu

Tutofautiane kwenye yote ila kuubagaza utanzania umefeli jombaa,km vipi hama
 
Kama ninavyokutambua kupitia profile yako mtoto wa shule.

Samahani huu n uzi wa vijana wenye akili pevu na sio uzi wa watoto wa shule.

Nadhani umeiba sima y mama ili ujifunze kutype,
Ahahahahaha! Hama nchi dogo au usitupigie kelele humu.
 
Usijali

Una shida ya afya ya akili

Una kichaa

Pole sana
Unaijua milembe ww?

Nenda pale ukaulize km kichaa huwa anajitambua km yy n chizi.

So waweza kuniona mm kichaa kwa sababu sehemu ya kichwa chako inayokusaidia kwny ufahamu ikawa damaged.

So utajiona upo sawa kumbe teyari mwezi umeandama
 
Sina raha kabisa madudu ni mengi sana hii CCM ni janga . Tulio nje ya system tusio na tamaa tunaumia sana angalau tungekuwa na tamaa tungejaribu kupenya tukachote na sisi
 
Cjivunii kuwa MTANZANIA
Sababu ni moja tu iliyonivuta hapa. Kichwa cha mada. Nilipoona gazeti chini yake, nikaona nije huku mwisho kunyanyua hicho kipande kidogo.

Sasa utanisamehe kwa maoni yangu haya.

Unaweza kuwachukia viongozi wote wanaokufanya ujisikie ulivyo; lakini hata mara moja, Tanzania kama nchi haijawahi kukufanya ujihisi unavyojihisi mwenyewe.

Kwa hiyo hapa unatueleza uongo (sijui umeeleza nini huko ndani).

Lakini, si ni rahisi tu kwenda popote upendako, kwani kuna anayekulazimisha ubaki hapa.

Ukweli ni kuwa upo hapa, kwa sababu unapapenda sana.
 
Unaijua milembe ww?

Nenda pale ukaulize km kichaa huwa anajitambua km yy n chizi.

So waweza kuniona mm kichaa kwa sababu sehemu ya kichwa chako inayokusaidia kwny ufahamu ikawa damaged.

So utajiona upo sawa kumbe teyari mwezi umeandama
Huyu kimsingi ni mtu wa hovyo kutokea kwenye hii nchi,km vipi ahamie Somalia,Gaza au Ukraine
 
Sina raha kabisa madudu ni mengi sana hii CCM ni janga . Tulio nje ya system tusio na tamaa tunaumia sana angalau tungekuwa na tamaa tungejaribu kupenya tukachote na sisi
Wewe n hazina kwa taifa,
Na ipo siku hazina hii itatumika kwa maslai mapana ya taifa.

Hao wanaochota acha wachote tuu, japo tunafahamu hawatachota milele
 
Tanzania ni nchi yenye vilaza wa kutosha kwa mtu smart huwezi kujivunia kabisa

Kuanzia juu mpaka chini shida tupu wajinga wengi,wajuaji wengi na wkati hawajui lolote

Utajiri wa mbongo ni kufanya kazi kuwa na nyumba na kuendesha Toyota hapo anaona kaukata
🤣🤣 umenifurahisa uliposema utajiri wa mtanzania ni nyumba na toyota.

Wenye akili mbovu hawajasoma sababu zangu za kuichukia nchi yangu,

Wao wamenivamia na akili zao za kichawa bila kujua niliyo yaeleza yanawaathiri hata wao
 
Back
Top Bottom