Nauchukia Utanzania wangu

Huyu kiufupi ni kenge maji,makosa ya viongozi ndio aibagaze nchi,no thank you.Tutakosoa na kuzidi kuiombea nchi yetu pendwa Tanzania.Kuna nyakati tunapata laana km taifa kwa sababu ya watu km hawa
Atleast umejua kuwa nchi yetu inaviongozi na viongozi hao wanamakosa..

Kesho hizo pombe za stress zikiisha kichwani, utaelewa why naichukia Nchi yangu
 
Sina nia ya kuingilia uhuru wako ndugu ila hili la kuiingiza nchi kwenye makosa kisa viongozi hawafanyi yawapasayo sio sahihi
Hadhani huamini kwny uhuru wa kujieleza, tht why unataka tufanane mawazo na fikra.

Haya n mawazo yangu binafsi na sababu za kuichukia nchi yangu nimezieleza hapo.

Labda na ww utueleze sababu za kuipenda zen tutapima mizani
 
Itabidi uipende tu, hakuna namna, Chukulia kama upo kwenye ndoa ya kikatoliki.
 
Wakiwa na makosa ndio tuichukie nchi!?,mwenye stress utakuwa wewe
Atleast umejua kuwa nchi yetu inaviongozi na viongozi hao wanamakosa..

Kesho hizo pombe za stress zikiisha kichwani, utaelewa why naichukia Nchi yangu
 
Atleast umependa kichwa changu kwa leo,

Binafsi n ushindi mkubwa sn, hasa kwa mtu mvivu wa kusoma km ww kwa kisingizio cha gazeti.

Km ulijump to the end, utajuaje whts on the middle of thread
 
Mmh! Hali inasikitisha sana asee, ngoja niweke maji mdomoni tu.
 
🤣🤣 umenifurahisa uliposema utajiri wa mtanzania ni nyumba na toyota.

Wenye akili mbovu hawajasoma sababu zangu za kuichukia nchi yangu,

Wao wamenivamia na akili zao za kichawa bila kujua niliyo yaeleza yanawaathiri hata wao
Umeweka "Heading" ya kipuuzi sana katika mada yako.
Ndiyo sababu.
 
Wewe ni bongo lala,una hoja ila unaongozwa na mihemko
wala sio mihemko, hakuna kitu kigumu km kupandisha thinking capacity ya mtu,

Hawa mfumo wa sasa ulisha waathiri, au umesahau “ BRN” ilivyowasaidia vilaza kupata vyeti vya taaluma?
 
Ndugu yangu umechelewa kuotesha hiyo mbegu na imeota kipindi hiki cha chawa! Binafsi mi nimeanza kuandika mashairi ya wimbo wa taifa la Tanganyika! Kizazi cha Tanganyika kishapevuka ingawa kinanyimwa elimu! Ila kimkanda mkanda kitatoboa tu inshallah! Bring back Tanganyika huenda ikasimamiwa na watu wenye akili timamu sio hawa wez na matahira wa ccm
 
Atleast umependa kichwa changu kwa leo,

Binafsi n ushindi mkubwa sn, hasa kwa mtu mvivu wa kusoma km ww kwa kisingizio cha gazeti.

Km ulijump to the end, utajuaje whts on the middle of thread
Huko shule uliko soma hawakukueleza umuhimu wa "Kichwa cha Habari"?

Unataka tuanze tena hapa kufundisha maswala ya huko Primary au hata ni Sekondari hapa?

Nakushauri ujikite kwenye maudhui ya mada yako huku chini, pengine itasaidia kueleza ulicho nuia kukiwasilisha kwa wasomaji.
 
Kk hata mbegu uliopanda ww haijafa, siku ikipata maji na mwanga itamea tuu.

Kutokuhoji, kukosoa na kukemea ni kumkosea Muumba kwa kipawa hiki cha akili alichotupatia
 
wala sio mihemko, hakuna kitu kigumu km kupandisha thinking capacity ya mtu,

Hawa mfumo wa sasa ulisha waathiri, au umesahau “ BRN” ilivyowasaidia vilaza kupata vyeti vya taaluma?
Kutokuipenda nchi kuyabadilisha hayo!?.
 
Pole sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…