politics observer
JF-Expert Member
- Jun 18, 2024
- 385
- 299
Hao mchwa ndo sitaki hata kuwasikiaViongozi wa dini nao wameingiza vichwa chini ya mchanga na kuona Kila kitu Iko sawa,wengine wanatetea Kila kitu. Huku nchi inazama na jiwe zito liitwalo matrilion
ChawaAhahahahaha! Hama nchi dogo au usitupigie kelele humu.
🤣🤣Itabidi uipende tu, hakuna namna, Chukulia kama upo kwenye ndoa ya kikatoliki.
We nae unaongea nnInawezekanaje hakuna anachochangia wakati analipa tozo na kodi zote za manunuzi bado ya ardhi na majengo mkuu nia aibu mwanaume kuogopa kusema ukweli ona aibu kula kisicho halali...ona aibuuu mkuu
Hahaha, tumefikia hapo kumbeKama mpaka stationary imepewa tenda ya sukari mkuu unangoja mpaka na sisi tuje tupigwe mnada
Upo sahihi, na kwakiasi flani haupo sahihi.Kwahiyo kila mtoa mawazo humu tofauti na Wewe ni chawa? kuwa na adabu aiseee wengine hatujawai kujihusisha na siasa zenu za maji taka, JAMBO la msingi hapa Tanzania Kuna shida ila kuna wengi wenye shida kuliko sisi hii iko wazi kabisaa mfano Sudan sasa hivi wanaishi kama panya, Kuna eneo kama Gaza ni mateso matupu Wewe unashida gani ya kuwazidi watu wa Gaza? Wewe ukiamka unaweza pesa , Nenda huko ukaone watu wakiamka wanawaza mabomu
We umesikia nini?😡🤣🤣🤣🔨We nae unaongea nn
Nimesikia km harufu za kichawa chawa hiviWe umesikia nini?😡🤣🤣🤣🔨
huwezi kujifananisha na watu wa dunia ya kwanza, huko ni kuvuka hatua, wenzako ndio hao hao wakina Sudan siku ukifika hata level ya south Africa kiuchumi angalau tunaweza kuweka mada mezani ila kwasasa HAPANA, acha kujifananisha na dunia ya kwanzaUpo sahihi, na kwakiasi flani haupo sahihi.
Kwanza hapa mm sizungumzii siasa cz hii sio siasa n hali halisi.
Zen ulivyokuwa school ulikuwa unajishindanisha na vilaza au vipanga?
Kwanin unataka sisi tujifananishe na vilaza?
Kwanini usitoe mifano mataifa yaliopiga hatua?
Unaiona wapi hii nchi miaka 10 ijayo?
Bro trust me hali inazidi kuwa mbaya
Siwezi kuwa chawa..Nimesikia km harufu za kichawa chawa hivi
Basi sawa, angalau dunia y pili bachuwezi kujifananisha na watu wa dunia ya kwanza, huko ni kuvuka hatua, wenzako ndio hao hao wakina Sudan siku ukifika hata level ya south Africa kiuchumi angalau tunaweza kuweka mada mezani ila kwasasa HAPANA, acha kujifananisha na dunia ya kwanza
wala siwezi kuwa mzalendo kwenye taifa lisilo jiongoza kisheria kama hili..Bali nani?
Kwenye uzalendo haupo
Hao machawa wa mama, wasikusumbue, kija wetu atarud kwa nguvu y 5GNa ban umepata duh. Hasira za kujichukia ndio zinazidi😎😎
Umefurahi sn kijana kula ban sio? 😁Na ban umepata duh. Hasira za kujichukia ndio zinazidi😎😎
Akili kubwa sana hizi….Hem sema una uzalendo gani wewe, huenda bado unakula na kulala bure...lazima utasema ni mzalendo tu. Kamani critical thinker huwezi kujivunia haya yanayoendelea nchini kwa sasa unless ni mnufaika(sio mzalendo) au kula kwa shkamoo.
Basi sawaNaipenda Tanzania pamoja na yote ila bado naipenda nchi yangu.
Wape spana madogo hao,Mm najitambua ndomaana nimeleta uzi mezani wenye fikra pana na fikilishi,
Ww mwenza umeleta moja tu kujitambua.
Au umepotea uzi unadhani umekuja hapa kuelimisha rika?
Brother this is strong thread inahitaji critical thinking, na sio nonsense stuffs
Upo sahihi kqbisa, hawa ndugu zetu wazee wa makanisa na misikiti moto wao wa peke yao huko jehanam….Siku hizi hakuna tena viongozi wa dini waadilifu bali kuna wapiga dili.
Ccm nao kwa kulijua hilo wanatumia huo mwanya kuwarubuni kwa kutumia pesa za mkopo wanaokopa kila uchwao, ambazo mwisho wa siku atazilipa mlala hoi.
Maana nyingine kupitia dini tunajikaanga kwa mafuta yetu.