Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 3,000
- 5,606
Nyie askari ni watu msiojielewa kabisa. Ndio maana mnakaa kwenye mahema mpaka mnastaafu. Anayewahurumia, hana akili. Subirini 2025 ili muingize kura za kufoji za CCM kwenye vituo vya kura. Hicho ndio mnachoweza.
Ndio maana kiongozi wenu anaitwa Zirro. Na tangazo lenu la kazi eti mnataka fomu 4 division 3 na 4 tu!! Yaani katika wasomi wote waliojaa Tanzania, nyie mkaona fomu 4 division 3 ama 4 ndio mtaji wenu!! Lo!! Kweli mtaji wa CCM ni nyie wajinga.
Tena ingekuwa amri yangu ningesema wasilipwe kabisa.
Hii kucheleweshewa naona bado ni favor wanapata.
Ulijuaje wanawake wajawazito wana chuki?tatizo zikichelewa hata wale wastaafu waliokuwa wema wanaumia.
chuki zenu kwa wenue roho mbaya,zisifanye mkawa kama wanawake wajawazito.
mkuu tafuta hela,polisi watakuchanganya tu.
Ulijuaje wanawake wajawazito wana chuki?
Oh sorry kumbe wewe ni mama....
Hela ninayo. Usifikiri wote humu wametoka chuo 2020.
mwenye hela hachukii polisi maana huwatumia.
Hela za ku brush viatu zinaendaga wapi
Umenena vyema.Nimeshangaa sana hilo tangazo.. Yaani 2021 bado sector muhimu kama police wanaprefer division 4? Sijui kwanini hawakuacha wazi watu waombe, wapembue wenyewe huko.. Kuliko kusema wanataka division 4?
Mimi kwa skari hawa wetu, nashauri hata wasipewe hizo hela. Wameshadhulumu sana watu, acha nao walipwe dhuluma.Si kila askari alijiandaa kuwa na kitega uchumi akiwa kazini lahasha, lakini sasa kwanini anapostaafu asipewe nauli ya kumrudisha kwao kwa wakati ili aende apambane na mashamba?
Swala hili viongozi na Waziri wa mambo ya ndani alitolea ufafanuzi lakini hamna utekelezaji sijui ni kumbembeleza mtoto kwa pipi au la.
kwa sasa mtu anastaafu nauli yake haiji baada tu ya kustaafu, fuatilieni ni wangapi wapo makambini wanasubiri nauli na wameisha staafu na nauli hizo hazii, watu wamekaa miezi sisi tukiwemo, pensheni ndio usiseme, mfuko wa pensheni PSSSF wanasema Serikali.
Inachelewesha kulipa Michango ya wanachama wake ndio maana na wao wanachelewa kuwalipa pensheni zao, serikali hiyo hiyo ndio inayotoa maagizo watu walipwe mapema, sasa hawa watu wanatuonaje sisi mfano, sasa hapa tunashindwa kuelewa ni kampeni ili wapate kura za wastaafu au ni nini.
Wastaafu kama askari wamekuwa wakitaabika baada ya kustaafu, si nauli ya kurudi kwao si pensheni hamna kitu, huenda NSSF inayokusanya michango ya private sector wana unafuu sana labda, ila PSSSF imetuchosha mno mno.
Sidhani kama kuna huruma yoyote ile kwa wastaafu wa PSSSF.
Trafik laki tatuKwani mshahara wa askar shingapi
hawataki ma officers wanataka askari wawe wa daraja la chini siku hizi kila mtu anataka awe na nyota kazi za koplo atafanya nani na ma sajentiNimeshangaa sana hilo tangazo.. Yaani 2021 bado sector muhimu kama police wanaprefer division 4? Sijui kwanini hawakuacha wazi watu waombe, wapembue wenyewe huko.. Kuliko kusema wanataka division 4?