Nauli ya China kwenda na kurudi kwa Sasa ni Dola ngapi?

Nipe nauli ya kutoka tinde hadi sirari kwa kutumia hiyo google
ukisearch wanakuletea ule mkeka wa LATRA wenye nauli elekezi kote TZ. Una lingine labda?
 
Kabla ya google hawajaweza kukupa jibu sahihi ni lazima watumie watu kutoa feedbacks . Majibu ya google yanatokana na maoni ya watu binafsi.
Mtu anapouliza swali hapa maana yake ni kuwa ni kuwa anatafuta jibu sahihi kwa njia ya mkato kuliko angepitia huko google.
Ni sawa tu na mtu apotee njia aje nymbani kwako anakuelekeza anakokwenda na wewe unakujua badala ya kumuelekeza afike unamwambia aruudi nyuma akasome kibao cha mtaa
 
Ulitakiwa uje na jibu na sio porojo,uelewa wako ni mdogo kwa hiyo hii forum ni search engine?
Yaani Jf,Nairaland,Gsm forum,n.k ni SAWA na Google,Bing,n.k acha utopolo.
Hajakwambia jf ni search ingine
Zingatia sana
Umeambiwa jf ni sehemu ya search ingine tu
Kwa maana data za humu hutumiwa na google
 
Safi mkuu tumeelewana bora wewe tunaelewana na binadamu anakosea,nimekupata vema.
 
Wanangu wa Kaigo.................
 
Hajakwambia jf ni search ingine
Zingatia sana
Umeambiwa jf ni sehemu ya search ingine tu
Kwa maana data za humu hutumiwa na google
Sasa mambo ya matusi yanatoka wapi?
Mbona ukiongea kistaarabu unaeleweka tu.
 
ukisearch wanakuletea ule mkeka wa LATRA wenye nauli elekezi kote TZ. Una lingine labda?
Huoni kama njia rahisi ni kwa mtu anayeijua. Hiyo nauli akaleta jibu hapa kuliko hiyo njia ya latra ambayo kwanza haina uhakika
 
Uliza google itakupa jibu sahihi....usipende kuambiwa na watu na Bando unalo.
Umekosea mkuu, Jeiefu anaweza kupata maelezo mazuri Kwa alichokiuliza, Yes gugu (Makala voice) Ina vitu vingi ila kuuliza hapa si vibaya, samtaimzi tuwe positive tu
 
Sasa nini maana ya JF
Jf ina maana sana,pia humu humu watu wanaenda kutafuta majibu google wanayaleta hapa,Nimeeleweka tofauti,sijapinga majibu ya humu.....humu kuna mtu anaweza kuuliza swali na asijibiwe tena mambo ya Msingi sana,Kama umekosa majibu au huelewi ndio uje hapa kuuliza...sijakataza watu wasiulize au nionekane ni mjuaji hapana.
 
Umekosea mkuu, Jeiefu anaweza kupata maelezo mazuri Kwa alichokiuliza, Yes gugu (Makala voice) Ina vitu vingi ila kuuliza hapa si vibaya, samtaimzi tuwe positive tu
Pamoja sana,Sina tatizo mkuu na watu kama wewe ambao mnaeleweshana kiubinadamu sio mtu anakuja kukutukana kisa umekosea....sikuwa na nia mbaya kwa jamaa kuna wengine wanauliza humu hawajibiwi.
 
Kuliko kuuliza humu JF ukaambulia matusi na kejeli za hapa na pale, ni vyema ungemuuliza hata chatGPT angekupa majibu mujarab kabisa tena mpaka hoteli angekushauri ipi ya kufikia kwa kipato chako cha ungaunga mwana. Sawa wewe Msukuma?
Ngosha Tena🤣🤣🤣🤣
 
Achana nae mkuu, Kuna sehemu mtu ametoa mfano wa nauli ya kutoka sijui wapi kwenda Sirari kutokupatikana google Ili kujastfai hoja yake, google na JF zote zinatoa majibu lakn google ni Instantly wakt jf inategemea wadau wakujibu Tena wengine wanasema kuanzia Dola 380! Kweli shilingi laki 8 uende china na kurudi kwa ndege???
Pamoja sana,Sina tatizo mkuu na watu kama wewe ambao mnaeleweshana kiubinadamu sio mtu anakuja kukutukana kisa umekosea....sikuwa na nia mbaya kwa jamaa kuna wengine wanauliza humu hawajibiwi.
 
Kumwambia aulize google ndio imekuwa limit ya kutokujibiwa hapa?
Ujuaji unao wewe, halafu usiniite dogo na hunifahamu.
Wewe ni mtoto ndio maana umejibu vile wewe kama sio mtu wa kigoma basi utakuwa ni kutoka bukoba kwasababu watu wa sehemu hizo wanaujuaji mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…