Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za mpumbavu hufikiria pafupi siku zoteNi mjinga tu anayemiliki simu ambayo majibu yote anayoyataka atayapata kwenye hiyo simu anakuja kuwauliza watu wamtafutie jibu lililomo ndani ya simu yake pia!
Wewe na huyo ni walewale, hizi ni enzi za tiketi mtandao ndani ya ukataji tiketi mtandao ndimo nauli zimo kulingana na aina ya basi.Umesahau kwamba haya majibu ameyapata ndani ya simu yake pia? Au amefunga safari kuja kwako? Fikiri kwa kina.
We raia wa nchi gani? Katembelee tovuti ya LATRAWakuu kwema,
Nina safari kidogo ya kutoka Dar es Saalam kwenda Arusha naomba kujua bei ya nauli ya kutoka Dar kwenda Arusha na basi gani?
Mara ya mwisho ulisafiri lini mkuu kutika Dar to Arusha? Na ulilipanda Bus gani?30000 usilipe zaid ya hapo ila kuna magar hadi 23000
Uhakika unamaanisha nini. Hakuna basi halifiki Arusha mengine ni mbwembwe tu za biasharaKwa nauli hizo labda apande Harambee au Masama Serengeti (sijui kama bado yapo)
Ila kwa magari yenye uhakika wa safari akina Kilimanjaro, BM, Extra, Marangu Kidia n.k n.k, aandae kuanzia 33k mpaka 40..
Mkuu mara ya mwisho kusafiri hiyo route ilikuwa lini? Na ulipanda Bus la kampuni gani kwa hiyo nauli?Andaa kama 50,000/=. Hapo ni nauli ya basi. Pesa ya chakula njiani na ya usafiri wa kukutoa stand kukupeleka utakapofiki na pesa ya mawasiliano. Na chenji itabakia.
Nauli itategemea umepanda basi la kampuni gani. Gari nyingi za ruti ya Arusha ni nzuri. Nauli kipindi hiki cha sikukuu za pasaka sidhani kama itapanda sawa na kipindi cha Christmas.
Ila bargain kuanzia 20,000/= then usizidi 23,000/=.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], daaaah!Umesahau kwamba haya majibu ameyapata ndani ya simu yake pia? Au amefunga safari kuja kwako? Fikiri kwa kina.
lisafir juzi kati hapaMara ya mwisho ulisafiri lini mkuu kutika Dar to Arusha? Na ulilipanda Bus gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
23 nauli ya mwaka 2005Mimi nilisafiri Dar Moshi 37,000/= luxury 40,000/= kilimanjaro express hii 23,000/= ni nauli ya lini mkuu?