ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ikiwa nauli ya SGR Treni ya mwendokasi ya Kenya inayotumia diesel mwa umbali wa Nairobi-Mombasa ni Tsh. 400,000 wakati Kwa umbali huo huo wa Dar-Makutopora Kwa SGR ya umeme ya Tanzania ni Tsh. 100,000.
Hata ungekuwa wewe ni Gen Z utaacha kuandamana kweli na kusema Ruto Must go?😂😂😂😂
--
Wizara ya Uchukuzi nchini Kenya imetangaza nauli ya treni ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Nairobi-Mombasa kwa tiketi ya daraja la juu (premium) kuwa Ksh 20,000 [TZS laki 4] kwa safari ya kwenda na kurudi.
Huduma zitakazotolewa ni pamoja na viti vya umeme vinavyoweza kukunjwa na kuzunguka, sehemu za kuchaji, sehemu maalum kwa ajili ya kunyonyesha na kubadilishia watoto, vyoo na vifaa vya usaidizi kwa ajili ya wazee na walemavu.
My Take
Tanzania ni Nchi ya maziwa na asali.
View: https://youtu.be/yJ0RXPdRWtc?si=ydDR80l9i2D6HrJN
Hata ungekuwa wewe ni Gen Z utaacha kuandamana kweli na kusema Ruto Must go?😂😂😂😂
--
Wizara ya Uchukuzi nchini Kenya imetangaza nauli ya treni ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Nairobi-Mombasa kwa tiketi ya daraja la juu (premium) kuwa Ksh 20,000 [TZS laki 4] kwa safari ya kwenda na kurudi.
Huduma zitakazotolewa ni pamoja na viti vya umeme vinavyoweza kukunjwa na kuzunguka, sehemu za kuchaji, sehemu maalum kwa ajili ya kunyonyesha na kubadilishia watoto, vyoo na vifaa vya usaidizi kwa ajili ya wazee na walemavu.
My Take
Tanzania ni Nchi ya maziwa na asali.
View: https://youtu.be/yJ0RXPdRWtc?si=ydDR80l9i2D6HrJN