Nauli ya treni ya kasi Kenya ni Tsh. 400,000 wakati ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Kwa nauli hizo Gen Z wapo sahihi

Nauli ya treni ya kasi Kenya ni Tsh. 400,000 wakati ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Kwa nauli hizo Gen Z wapo sahihi

Wewe utatumbuliwa lini?
 

Attachments

  • IMG-20240723-WA0040.jpg
    IMG-20240723-WA0040.jpg
    160.2 KB · Views: 4
Ikiwa nauli ya SGR Treni ya mwendokasi ya Kenya inayotumia diesel mwa umbali wa Nairobi-Mombasa ni Tsh. 400,000 wakati Kwa umbali huo huo wa Dar-Makutopora Kwa SGR ya umeme ya Tanzania ni Tsh. 100,000.

Hata ungekuwa wewe ni Gen Z utaacha kuandamana kweli na kusema Ruto Must go?😂😂😂😂

--
Wizara ya Uchukuzi nchini Kenya imetangaza nauli ya treni ya abiria ya Reli ya Kisasa (SGR) ya Nairobi-Mombasa kwa tiketi ya daraja la juu (premium) kuwa Ksh 20,000 [TZS laki 4] kwa safari ya kwenda na kurudi.

Huduma zitakazotolewa ni pamoja na viti vya umeme vinavyoweza kukunjwa na kuzunguka, sehemu za kuchaji, sehemu maalum kwa ajili ya kunyonyesha na kubadilishia watoto, vyoo na vifaa vya usaidizi kwa ajili ya wazee na walemavu.

My Take
Tanzania ni Nchi ya maziwa na asali.
Sawa
 
ishu ya tanzania vs kenya emotional ndo maana ili kupunguza emotions nimeamua kusema hivyo “middle class tz” …
Sisi wote ni watanzania nchi yetu tunaijua hamna cha emotion labda uwe ujinga tu. Unakuta wilaya nzima tanzania aina supermarket au Hotel ya 2star watu wote tuna kula magengeni, hapo middle class inao taka quality service uipate wapi?
 
Watanzania hatuna holiday iwe vijijini au mjini tunaenda kwenye misiba au kusalomia tena sio wote makabila machache ndo wana mila za kusalimia na kuzika makwao, Tz haina middle class tuna tabaka mbili watawala top class na watawaliwa peasants......hiyo middle class sioni popote tuna kitana wote magengeni kuninua vyakula vya nyumbani vya kila siku.

uko sahihi kabisa na nakubaliana na wewe, hata utajiri wetu hauwezi kuuthibitisha kwa mfano nenda mbezi beach au sijui mbweni na masaki utakuta nyumba mpaka za bilion sh. lkn mwenye nyumba hana deni la hata thumni la hiyo nyumba na ni mwajiriwa wa serikali/ shirika la umma, hizo ni fedha zimechotwa kutoka serikalini, fedha zilizopaswa kujenga shule, br., hosp, na mambo mengineyo …
 
uko sahihi kabisa na nakubaliana na wewe, hata utajiri wetu hauwezi kuuthibitisha kwa mfano nenda mbezi beach au sijui mbweni na masaki utakuta nyumba mpaka za bilion sh. lkn mwenye nyumba hana deni la hata thumni la hiyo nyumba na ni mwajiriwa wa serikali/ shirika la umma, hizo ni fedha zimechotwa kuyoka serikalini, fedha zilizopaswa kujenga shule, br., hosp, na mambo mengineyo …
Tanzania ni nchi peke ambao mtumishi wa ummah ana pesa kupita mfanya biashara wa kkoo, na haiko tayari kuacha kazi yake ya mshahara aendeshe Estate zake za ma billion, hapa kuna bourgeoisie class na peasant class tu, hamna middle class ambao inajulikana.
 
Sisi wote ni watanzania nchi yetu tunaijua hamna cha emotion labda uwe ujinga tu. Unakuta wilaya nzima tanzania aina supermarket au Hotel ya 2star watu wote tuna kula magengeni, hapo middle class inao taka quality service uipate wapi?
Hatuhitaji maisha ya Wazungu.Kwani kununua bidhaa supermarket ndio nini?
 
Tanzania ni nchi peke ambao mtumishi wa ummah ana pesa kupita mfanya biashara wa kkoo, na haiko tayari kuacha kazi yake ya mshahara aendeshe Estate zake za ma billion, hapa kuna bourgeoisie class na peasant class tu, hamna middle class ambao inajulikana.
Si mnawahonga wenyewe? By the way hakuna Nchi Ina Ufisadi kama Kenya unayoishabikia.
 
Si mnawahonga wenyewe? By the way hakuna Nchi Ina Ufisadi kama Kenya unayoishabikia.
Si shabikie nchi ya Kenya ila ukweli lazima usemwe, hapa kwetu sio ufisadi ni kukwapua vitita vya pesa za ummah,......
 
Bado haibadilishi maana. Thamani ni ile ile, alicho fanya yeye ni kuiweka katika thamani ya shilingi ya Tanzania. Hiyo 20k shilingi ya Kenya ukiwa huko kwao kuipata ni mtiti pia.

Kingine mleta uzi ni muongo muongo tu, hiyo nauli sio sahihi kabisa. Nimewahi kuwa huko na sikuwahi kuona hiyo nauli mpaka naondoka.
Huyo jamaa ni muongo Wakenya hawawezi kutoa hiyo pesa kwa ajili ya usafiri nauli iliyopo pale ni sawa na Tsh 20,000 na si KSh 20,000 mazee..kaambiwa elfu ishirini yeye kaiweka kwenye hela ya kule..
 
Back
Top Bottom