Nauli ya treni ya kasi Kenya ni Tsh. 400,000 wakati ya Tanzania ni Tsh. 100,000. Kwa nauli hizo Gen Z wapo sahihi

Sawa mkuu turudi kwenye fare yake mkuu?
 
Jidanganye mzee.
Kenya ina masikini ambao kila uchwao wanalalamika upandaji bei wa vyakula na tozo zisizo na maana.

sijasema kwamba kenya siyo masikini la hasha, bali nimesema middle class ya kenya ni kubwa klk tanzania, it’s a fact …
 
sijasema kwamba kenya siyo masikini la hasha, bali nimesema middle class ya kenya ni kubwa klk tanzania, it’s a fact …
Aya mkuu japo kiuhalisia tunakutana na Wakenya hapa Dar uhalisia wanausema.
 
unasahau labda kenya wana kipato kikubwa klk tanzania, kenya kuna middle class kubwa zaidi kwa mbali sana tu kulinganisha na tanzania, uki factor in hiyo utaona labda tofauti wala siyo kubwa kiivyo …
Middle class kubwa ndio hao wanauana huko? 😂😂
 
Aya mkuu japo kiuhalisia tunakutana na Wakenya hapa Dar uhalisia wanausema.

kuna wakenya wengi sana tu masikini lkn haibadilishi ukweli kwamba middle class kenya ni kubwa zaidi ya ya kwetu, unaweza kuona kila mahali mfano binafsi huwa nashangazwa mwezi december holliday season magari ya wakenya weusi yameongozana yanakuja tz for hollidays, sijawahi kuona watanzania wakienda holliday wengi tunaenda likizo vijijini, fanya tu utafiti subiri december nenda kwenye mahoteli ya kitalii utakuta wakenya weusi wengi na familia zao wamekuja holliday tanzania, ilinishangaza sana …
 
Mkuu kwani Tanzania kuna middle class iko wapi hiyo?
😂😂😂😂😂😂😂Wote tunafanana au siyo??
Hajulikani kipato cha kwanza ,kati wala cha mwisho.
 
Tuna mtindo tofauti pia wa maisha mkuu.
 
Naona ushindani wa bei humu, nani mkweli wa bei ya hiyo SGR ya Kenya?
Mkuu ukitaka ripoti tunakuletea .
Kenya imeleta mabehewa mapya ya VVIP ambayo behewa moja litabeba mwisho abiria 28 tu na bei yake ndio hiyo tajwa 20k ya kikenya.
Ambayo kwa kwetu itakua chini ya hapo.
 
Mkuu ukitaka ripoti tunakuletea .
Kenya imeleta mabehewa mapya ya VVIP ambayo behewa moja litabeba mwisho abiria 28 tu na bei yake ndio hiyo tajwa 20k ya kikenya.
Ambayo kwa kwetu itakua chini ya hapo.
Ni 20,000 au 12,000 mkuu
 
SGR Yao inatumia umeme au Diesel!
 
Watanzania hatuna holiday iwe vijijini au mjini tunaenda kwenye misiba au kusalomia tena sio wote makabila machache ndo wana mila za kusalimia na kuzika makwao, Tz haina middle class tuna tabaka mbili watawala top class na watawaliwa peasants......hiyo middle class sioni popote tuna kitana wote magengeni kuninua vyakula vya nyumbani vya kila siku.
 
Mkuu ukitaka ripoti tunakuletea .
Kenya imeleta mabehewa mapya ya VVIP ambayo behewa moja litabeba mwisho abiria 28 tu na bei yake ndio hiyo tajwa 20k ya kikenya.
Ambayo kwa kwetu itakua chini ya hapo.
Sasa kwa nini mnabishana kama watoto wa primary school?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…