Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Mallia

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
437
Reaction score
1,562
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali? Maana zenji ukitoka na boti tu bandari ya dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho , na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Unaongelea nauli ya chombo gani?
Basi
Bodaboda
Tax
Ndege
Boti
Meli
Au nini????
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali? Maana zenji ukitoka na boti tu bandari ya dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho , na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Kodi jahazi ferry hapo ni 5000 tu wanakuvusha
 
IMG_7495.jpg

Way to zanzibar[emoji91][emoji91][emoji91]
IMG_7558.jpg

Urojo wa forodhani[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali? Maana zenji ukitoka na boti tu bandari ya dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho , na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Acha kulia lia hapa, kwani kupiga mbizi bei gani, si uanze kuogelea.
 
Umeshajiuliza kwanini nauli ya ndege Kwa safari hiyo hiyo laki 1 Hadi laki 1.7?
Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
 
Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
Bado tunapigwa pale sio umbali wa 25,000 ule

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
kapande flying horse nauli elf 20,000 tu kwa mwendo wa kobe usiku mzima uko baharini,
kwa nauli hiyo na muda unaofika mbona sawa tu, watu wanatoka pangani zanzibar kwa elf 30 tanga znz kwa elf 40 sema unaanzia pemba kwanza hivo kwa hoja yako ulitaka wakuekee nauli sh ngapi mkuu??

we ukiona unaweza ogelea ni free
 
Back
Top Bottom