Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Una uzoefu wa kusafiri na boat maeneo mengine tofauti na Tanzania ?
Ndioo!!ila sasa usilete habari za mbele huko!!ambako tunda la fenesi tu kama yale ya mkuranga linauzwa zaidi ya laki 3, wakati hapa ni buku 8 !!hata hapa Tanzania kuna sehemu nilisafiri kwa boti za kisasa kwa tsh.30, 000 lakini umbali ulikuwa ni kama masaa 3!!kabla fitini hazijaanza na usafiri kufa!!
 
Kwenda Zenj,hutumii gari,unatumia boat yenye engine mbili za kuweza kusukuma maji,action and reaction,action force inayohitajika kusukuma maji ile chombo kiende mbele ni kubwa kuliko insyohitajikavkufana friction kwenye ground Ili gari litembee
Hoja yako haina mashiko bado!!kwani kwa Tz ni hapo tu dar-zenji ndio kumewahi kuwa na boti tu, kuna sehemu boti inachukua zaidi ya masaa 3, nilipa tsh.30, 000!!
Umbali huo na nauli hiyo haviendani kabisa!!labda kama kuna gharama nyingine za nchi na nchi.
 
Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,

Boat Kwa Kila tkt serikali wanatoa zaidi ya 7,000/- achilia mbali Kodi na tozo zingine.

Kama ilivyo Kwa ndege, hauwezi kulinganisha Bei ya bus na boat.
Hali kadhalika mshahara wa nahodha, msaidizi wake, wale ma injinia, crew n.k.

Hizo gharama zote ukiziweka pamoja haziwezi kulingana na bus, lazima ziwe juu.
 
Hizi boti za kisasa za fast ferries ndio zimesababisha nauli zipande Kwa sababu ni nzuri,abiria mnakaa Kwa mpangilio,Zina spidi na Huduma zote Kwa ujumla,tofauti na boti za zamani ambazo safari hiyo ingekuchukua masaa zaidi ya 10 Kwa gharama nafuu zaidi.

Pia bahati Ina resistance sana hivo nguvu hutumika zaidi kukata maji tofauti na Barabara,km 10 za bahati tofauti na km 10 za Barabara. Basi mshindane kukimbia 100m Kwa kuogelea na mwingine akimbie ndio utajua mziki was maji
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.

Kwani kwenda Chatto ilikuwa shs ngapi?
 
Cha ajabu zaidi ni pale kwa safari hiohio mgeni amabye sio mTZ analipizwa $25, ni aibu sana kwa kweli
 
Demand

Nina uhakika usafiri ukiwa mwingi watu wakaanza kutembea bodi tupu watapunguza profit margin kwa kushusha bei...

Pili mambo ya Tozo (Insurance n.k.) sina uhakika huenda hapo makodi yanakula percent kubwa sana
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Umezingatia kilometer? Kule majini hakuna traffic ujue
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Mkuu angalia hii document

Engine ya Kilimanjaro ina Consume lita 500 mpaka 760 kwa lisaa limoja na hio boti ina Engine 2, na usafiri ni Around masaa 2.

Hapa tunaongelea lita 2000 mpaka 3000

Boti inapakiza watu kama 500 hivi.

Ukipiga hesabu hapo almost 50% ya gharama ni mafuta tu, bado gharama za serikali, kulipa wafanyakazi, kupaki bandarini, matengenezo ya Boat, manunuzi ya Boat etc.
 

Attachments

Mkuu angalia hii document

Engine ya Kilimanjaro ina Consume lita 500 mpaka 760 kwa lisaa limoja na hio boti ina Engine 2, na usafiri ni Around masaa 2.

Hapa tunaongelea lita 2000 mpaka 3000

Boti inapakiza watu kama 500 hivi.

Ukipiga hesabu hapo almost 50% ya gharama ni mafuta tu, bado gharama za serikali, kulipa wafanyakazi, kupaki bandarini, matengenezo ya Boat, manunuzi ya Boat etc.
Kumbe

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom