Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Nauli ya Zanzibar kuwa Tsh 25,000 vigezo gani vimetumika?

Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
...Labda ni kwa Sababu unakwenda 'Nchi' nyingine!
 
Biashara Kama haina ushindani hiyo ni fursa wenye uwezo wa kuweka vyombo vya usafiri lazima wanufaike ila kukiwa na ushindan mbona naul itarud kawaida tu
 
Kuna maeneo mengine barabara zipo hovyo sana. So nadhani hili nalo linachangia
Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Mi napandaga VIP
 
Jana nimemkatia mtu v.i.p elf 35 Ni dkt alikwenda kwenye semina
Ni ghli Sana sijapenda na akuna alternative au washindani wengi ktk hyo viasha na muda wa boti Ni saa moja saa sita .na saa kumi

Kampuni Ni mbil tu Zanzibar feri na Kilimanjaro expres
IMG_20220314_090636_4.jpg
 
Jana nimemkatia mtu v.i.p elf 35 Ni dkt alikwenda kwenye semina
Ni ghli Sana sijapenda na akuna alternative au washindani wengi ktk hyo viasha na muda wa boti Ni saa moja saa sita .na saa kumi

Kampuni Ni mbil tu Zanzibar feri na Kilimanjaro expresView attachment 2153352

Hiyo 35,000 sio VIP, ni Business Class. VIP 60,000 na Royal 80,000 Kwa Kilimanjaro 7.
 
Tumieni hii fursa mnayojipima pesa za mgao mjenge daraja hapo yaheee....
 
Fleet ya Azam Marine ni boti aina ya Catamaran ambazo zinarange kati ya bilioni 8 hadi 10 plus kila moja. Azam wanazo 8 kwa info nilizo nazo sasa. Nadhani cost zinaanzia hapo.

Pia gharama za uendeshaji wa boti ni kubwa sana ukilinganisha na mabasi. Unahitaji captain, wasaidizi na watu wa mifumo ambao mishahara yao ni mikubwa ukilinganisha na mabasi. Hapo bado hujaweka wahudumu wa ndani ya boti yenyewe.

Yacht binafsi inagharimu kwa kawaida asilimia 10 ya thamani yake kwa mwaka kwenye uendeshaji ila kwa kuwa za Azam ni za biashara so inaweza kuwa tofauti kidogo.

Moja ya Catamaran boat wanazotumia Azam Marine: V2V Empress Passenger Ferry for sale - YachtWorld
 
Ile nauli ya sh 25,000 vigezo ni vyombo vinavyotumika ni gali sana au ni umbali?

Maana Zenji ukitoka na boti tu bandari ya Dar ukipiga hatua chache unaiona kwa macho, na ukitoka bandari ya Zanzibar hatua chache tu unaanza kukiona kiwanda cha Wazo yaani ni karibu tu ila nauli kuwa 25,000 kuendelea sijui ni vigezo gani vinatumika.
Kama unaona ni nyingi piga mbizi tuu mkuu
 
Hakuna sehemu nimelinganisha na nauli ya basi mimi!!ninacho jiuliza mbona kuna kipindi kulikuwa na boti mwanza kwenda bukoba, nilisafiri kwa tsh.30, 000 na ni safari ya zaidi ya masaa 3?!!kabla hazijafanyiwa zengwe?!!kule hakuna manahodha, mainjinia?!!
Pale kigoma kulikuwa na usafiri wa boti kwenda DRC, karibia masaa 5 majini lakini nauli ilikuwa tsh.40, 000!hapa iwe tsh.25, 000 hapana kuna sehemu sio sawa!!!
Maji chumvi ndugu yangu
 
Back
Top Bottom