BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,122
- 4,060
...Labda ni kwa Sababu unakwenda 'Nchi' nyingine!Huo usafiri wa ndege duniani kote unajulikana, na ni kutokana na gharama nyingi zilizoko huko, hoja hapa ni kwenye usafiri wa majini, ki ukweli hizi gharama hapo hazina uhalisia kabisa na umbali, huo, hata kama labda ni kutokana na boat kuwa za kisasa lakini bado,