Nauliza 2025 Magufuli atagombea Urais kupitia Chama Gani?

Nauliza 2025 Magufuli atagombea Urais kupitia Chama Gani?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Ndugu zangu wahenga walishasema kuuliza siyo ujinga,, Mijadala inayoendelea nchini inanifanya niamini kuwa Magufuli yupo Chato anachunga Ng'ombe zake.

Nimatuamaini 2025 atarejea tena ulingoni maana washindani wake huku wamepamba moto , CCM wanamsema Magufuli, Chadema wanamsema Magufuli.

Sasa hawa CCM na CHADEMA Naona kila Dalili kuwa wataungana Pamoja kupambana na Magufuli 2025, huku watanzania tukiwa tumekufa wote kwa njaa, Mawe ndo yatapiga kura nahisi.
 
Mbona inawauama sana tukitaja maovu yaliyopita? Jana Samia hata hakumtaja hilo jitu, ila misukule yake sasa ndio inaanza kujaza server huku kumtetea

Nyie ndio mnapaswa kuambiwa lile jitu limekufa na halirudi tena kugombea 2025 hata mkilisafisha namna gani ni bure
Kupambana na marehemu hakukufanyi uwe mshindi. 99% wanaomsema ni wale waliokuwa naye. Mbona hawakuweza kutuambia akiwa hai na walikuwa jikoni
 
Kupambana na marehemu hakukufanyi uwe mshindi. 99% wanaomsema ni wale waliokuwa naye. Mbona hawakuweza kutuambia akiwa hai na walikuwa jikoni
Hakuna mtu anayepambana nae, tunasema yaliyotokea ili tuyarekebishe
 
Mbona inawauama sana tukitaja maovu yaliyopita? Jana Samia hata hakumtaja hilo jitu, ila misukule yake sasa ndio inaanza kujaza server huku kumtetea

Nyie ndio mnapaswa kuambiwa lile jitu limekufa na halirudi tena kugombea 2025 hata mkilisafisha namna gani ni bure
Wewe ni kati ya watu wasio jielewa unaonyesha ni kiasi gani ulivyo kiazi na unatumia ubongo wa nguruwe 🐷,unapo sema jitu lenu limekufa una maanisha nini kwa kauli hiyo?

Kama una hoja ya msingi ilete sio kutumia lugha isiyofaa,hata wewe utakufa tu mda wako ukifika,kwanza wewe huna faida yoyote ile kwenye hili taifa zaidi ya kupiga porojo tu.

Kufa hiyo ni njia ya lazima kwa kila kiumbe hata iweje na wewe utakufa tu, usilete chuki zako binafsi na uchawa wako hapo kuzozona na marehemu.

Hawezi kujitetea kama ungekuwa mwanaume kweli ungejitokeza kipindi yupo hai kupingana naye.
 
Hakuna mwanasiasa mwenye hofu na JPM. Uhalisia ni Serikali inaendeleza mazuri na inarekebisha ilipokosea sema kuna kakikundi uchwara kapo mtandaoni kila jambo kanalihusisha na JPM either kwa kumsifia au kupigana asichafuke ilihali hakuna wala anayemchafua bali serikali inajisahihisha tu.
 
Hakuna mwanasiasa mwenye hofu na JPM. Uhalisia ni Serikali inaendeleza mazuri na inarekebisha ilipokosea sema kuna kakikundi uchwara kapo mtandaoni kila jambo kanalihusisha na JPM either kwa kumsifia au kupigana asichafuke ilihali hakuna wala anayemchafua bali serikali inajisahihisha tu.
Pointi
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom