Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutoa mimba ni swala la hiali ya mtu azae au asizae.
Binafsi naona maisha yatakuwa bora zaidi maana watu wanaingia garama za kulea viumbe ambavyo havikustaili kuwepo duniani vinapata taabu na kutaabika kama kutupwa,kukosa malezi,kukosa chakula,kukosa elimu bora,kukosa pakulala n.k
kwa hiyo utoaji mimba naona utatusaidia sana kupima kabla kukiacha kiumbe kitoke duniani tutaweza kikimudu na kikitunza?kama huweni bora kuishusha tu mimba hiyo.
Kutoa mimba ni swala la hiali ya mtu azae au asizae.
Binafsi naona maisha yatakuwa bora zaidi maana watu wanaingia garama za kulea viumbe ambavyo havikustaili kuwepo duniani vinapata taabu na kutaabika kama kutupwa,kukosa malezi,kukosa chakula,kukosa elimu bora,kukosa pakulala n.k
Kwa hiyo utoaji mimba naona utatusaidia sana kupima kabla kukiacha kiumbe kitoke duniani tutaweza kikimudu na kikitunza?Kama huweni bora kuishusha tu mimba hiyo.
Kutoa mimba=kupunguza matumizi ya kondom=kuenea kwa vvu.
Yaelekea watu wanaogopa mimba zaidi ya vvu, Kwani kama watu wangezingatia ngono salama, mimba zisingekuwepo na mjadala usingekuwepo pia
Duuu nadhani kutoa mimba haifai kabisa na unaweza kuharibu kizazi na mimi siwezi kusapoti hili swala kabisa la kutoa mimba maana baadae mtu unaweza kujuta...