Encryption
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 997
- 1,348
Kinga dhidi ya Moshi wa Wamakondewakuu habarini za usiku huu,
Nimeandika andiko hili kutokana na kumuona Mhe. Rais tangu ameanza kufanya ziara mikoa ya Kusini hajabadili koti na kila tukio ninalomuona kwa siku za hivi karibuni koti ni lilelile.
Kiitifaki limekaaje hili wakuu?
Mkuu unamkubali sana mkuu wa inchi naomba unisaidie sababu zinazokufanya mkubali sanaaaaaaaHata Marc Zuckerberg mlisema habadili t-shirt. Hadi alivyowaambia anazo nyingi. Inawezekana CHUMA kinazo makoti mingi.
Msukuma mwenzie.Mkuu unamkubali sana mkuu wa inchi naomba unisaidie sababu zinazokufanya mkubali sanaaaaaaa
Kamuulize mwenyewe.wakuu habarini za usiku huu,
Nimeandika andiko hili kutokana na kumuona Mh. Rais tangu ameanza kufanya ziara Mikoa ya Kusini hajabadili koti na kila tukio ninalomuona kwa siku za hivi karibuni koti ni lilelile.
Kiitifaki limekaaje hili wakuu?
Ndio Inamuhusu kwasababu hilo koti limenunuliwa na kodi zetuKamuulize mwenyewe.
Ni hilohilo tu bana. Abadilishe koti bana taasisi ya urais ni taswira ya nchiUmejuaje kama ni lile lile?
Mwenyewe si unaona ? Mwenye macho haambiwi tazama bwana. Namkubali kwenye country construction. Simkubali kwenye social construction.Mkuu unamkubali sana mkuu wa inchi naomba unisaidie sababu zinazokufanya mkubali sanaaaaaaa