Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Amenunua kwa mshahara wake Kama ambavyo wewe unanunua za kwakoNdio Inamuhusu kwasababu hilo koti limenunuliwa na kodi zetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amenunua kwa mshahara wake Kama ambavyo wewe unanunua za kwakoNdio Inamuhusu kwasababu hilo koti limenunuliwa na kodi zetu
Mshahara gani wewee? Au kamega zile za rambirambi za wana Bukoba?Amenunua kwashahara wake Kama ambavyo wewe unanunua za kwako
Wewe limama hueleweki kabisa,Mwenyewe si unaona ? Mwenye macho haambiwi tazama bwana. Namkubali kwenye country construction. Simkubali kwenye social construction.
Ulimuona alivyomega au unaropoka tu?Mshahara gani wewee? Au kamega zile za rambirambi za wana Bukoba?
Hamna bana kodi zetu lazima zisichezeweziende zifanye kazi sehemu husika kwa maslahi mapana ya nchiUlimuona alivyomega au unaropoka tu?
Kwani hujui Kama Rais Ana mshahara au unajitoa tu ufahamu?
Ulitaka zikafanye kazi wapi?Hamna bana kodi zetu lazima zisichezeweziende zifanye kazi sehemu husika kwa maslahi mapana ya nchi
Kazi gani? Za kuibia watu Korosho na rambirambi???!!Ulitaka zikafanye kazi wapi?
Kwani huoni kazi zilizofanyika?
Wapi huko?Kazi gani? Za kuibia watu Korosho na rambirambi???!!
Hamna bana hatufaiiiiiiiiiiiiiiiWapi huko?
Lete ushahidi..
Rambirambi inahusika vipi na koti la mh Rais?
Hakufai wewe.Hamna bana hatufaiiiiiiiiiiiiiii
Jikite kwenye mada mkuu. Mbona unatoka nje ya mstariHatufaiiiiiiiiiiiiiii
Nimemuuliza maswali ameshindwa kuyajibu.Jikite kwenye mada mkuu. Mbona unatoka nje ya mstari
Japo amenitia umaskini sana.lakini inchi ameiweka vizuri nadhani ingekuwa mtu mwingine nje ya yeye inchi hii ingekuwa hoi sana now.mwambie tu anilipe pesa zangu mkuuMwenyewe si unaona ? Mwenye macho haambiwi tazama bwana. Namkubali kwenye country construction. Simkubali kwenye social construction.
Endelea kudai haki yako. Haki ya mtu haipotei.Japo amenitia umaskini sana.lakini inchi ameiweka vizuri nadhani ingekuwa mtu mwingine nje ya yeye inchi hii ingekuwa hoi sana now.mwambie tu anilipe pesa zangu mkuu
Ulitaka nieleweke ili iweje. I am a complex creature. To understand me,you must have a free mind state.Wewe limama hueleweki kabisa,